Wadau.
Mwenye uelewa naombei msaada. NImepita barabara ya Dodoma hadi igunga sijapata majibu ya zile nguzo mya zinazotengezwa. Je ni mpango wa kubadili zile za zamani ama ndo umeme wa gesi ili kuimalisha uwepo wa viwanda?
Wadau.
Mwenye uelewa naombei msaada. NImepita barabara ya Dodoma hadi igunga sijapata majibu ya zile nguzo mya zinazotengezwa. Je ni mpango wa kubadili zile za zamani ama ndo umeme wa gesi ili kuimalisha uwepo wa viwanda?
Kuuliza si ujinga ndugu yangu. Umejibu kimipasho sana. ninayohaki ya kuelewa ninapo kuwa na haja hiyo. ndo maana nikataka nijue maana hizo pesa ni kodi yangu hivo ninahaki ya kujua. wewe tulia tu utaelewa kupitia uzi huu..wamo wanao jua kuliko weweHata ukiona barabara ya lami inajengwa utauliza kwanini inajengwa???? Umeshasema nguzo za umeme zinajengwa.......swali lako ni lipi? Kwanini hukuuliza wasafiri wenzako???? Kazi kweli kweli tukiwa na sample size kubwa ya aina yako!
Yes ni haki ya mtu kuuliza jaman tusiwe wakaksi hivyoo bhana sio poa. Mtu anapouliza anahitaji more clarification so peoples tusiwe waguuumu thy way
JF Member, ni mradi unaoitwa Backbone Investment Transmission Project (Double Circuit), wana upgrade grid ya taifa na hiyo line inatoka Iringa - Dodoma - Singida - Shinyanga then Singida - Arusha. Line ya zamani ni Single Circuit hii mpya ni double circuit. Mimi si mtaalamu wa umeme lakini kwa uelewa wangu wa reasoning tu ni kuwa hii line itakuwa na uwezo wa kubeba umeme mkubwa zaidiWadau.
Mwenye uelewa naombei msaada. NImepita barabara ya Dodoma hadi igunga sijapata majibu ya zile nguzo mya zinazotengezwa. Je ni mpango wa kubadili zile za zamani ama ndo umeme wa gesi ili kuimalisha uwepo wa viwanda?
Kinachokusumbua ni haraka kama unajisaidia nje tulia utaona kazi take ambayo unaifahamu
JF Member, ni mradi unaoitwa Backbone Investment Transmission Project (Double Circuit), wana upgrade grid ya taifa na hiyo line inatoka Iringa - Dodoma - Singida - Shinyanga then Singida - Arusha. Line ya zamani ni Single Circuit hii mpya ni double circuit. Mimi si mtaalamu wa umeme lakini kwa uelewa wangu wa reasoning tu ni kuwa hii line itakuwa na uwezo wa kubeba umeme mkubwa zaidi
Wadau.
Mwenye uelewa naombei msaada. NImepita barabara ya Dodoma hadi igunga sijapata majibu ya zile nguzo mya zinazotengezwa. Je ni mpango wa kubadili zile za zamani ama ndo umeme wa gesi ili kuimalisha uwepo wa viwanda?
Wakati tunawaambia serikali imefanya makubwa nyie mnaoishi mjini mkaishia kusema hakuna kitu ...hiyo nayo mnabeza?
Jinga hili sasa linauliza habari ya nguzo kwani hajui kwenye nguzo kunapita nini,basis kwa kumsaidia ni maji yanapelekwa tbr.