Nguvu za kike na utajiri

Nguvu za kike na utajiri

Nikiwa na lepe la usingizi naandika uzi kama ifuatavyo

Wanawake ni chombo cha utajiri sema hujui jinisi gani ya kukitumia kuvuna utajiri ila unajua jinisi ya kukitumia kam chombo cha anasa.

Naimani mwanamke ana nguvu kubwa kwenye kila mafanikio yako kama utamtumia ipasavyo na akakupenda kweli

Mwanamke akisema aamue kufanya kitu kwenye hii dunia hashikiki iwe biashara ,elimu,n.k ndio maana mababu waliakaataa kuwapeleka shule

Nataka niwape somo vijana kuwa mtumie ulienae kuvuna umilionare sio kuchakata nyapu tu uku unazeeeka utazikwa na boksi

Uzi tayari

Sent using Jamii Forums mobile app
Uswahilini utaitwa Marioooo!, umekamatwa masikio, husemi kitu, kwamke hasa ukimtumia mpate maendeleo! lazima umpende kosa ukimpenda ndo hayo majina hapo juu.

ukimuacha apate tu yeye hela hayo majina yatakufanya umkimbie! utafute maskini.

uswahilini mke mpiganaji haolewi, labda ulaya
 
Kuna ukweli katika hili la mtoa Uzi.
Jambo la msingi umpende au mpendane kweli na kuheshimiana , wanawake wana nguvu ya ajabu sana , ukiaa naye na kuishi naye vizuri lazima mufanikiwe.
Naunga mkono hoja.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanaume wana asili ya dharau hasa kwa wanawake zao, Mimi ni mmoja wa wanufaika, mke wangu amenisaidia saana, ninayejua ni mimi mwenyewe, namuomba Mungu amlinde, amjalie afya njema na amuepushe na kila lililo baya, Ninampenda sana mke wangu.
 
Nikiwa na lepe la usingizi naandika uzi kama ifuatavyo

Wanawake ni chombo cha utajiri sema hujui jinisi gani ya kukitumia kuvuna utajiri ila unajua jinisi ya kukitumia kam chombo cha anasa.

Naimani mwanamke ana nguvu kubwa kwenye kila mafanikio yako kama utamtumia ipasavyo na akakupenda kweli

Mwanamke akisema aamue kufanya kitu kwenye hii dunia hashikiki iwe biashara ,elimu,n.k ndio maana mababu waliakaataa kuwapeleka shule

Nataka niwape somo vijana kuwa mtumie ulienae kuvuna umilionare sio kuchakata nyapu tu uku unazeeeka utazikwa na boksi

Uzi tayari

Sent using Jamii Forums mobile app
We umevuna milioni ngapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nikiwa na lepe la usingizi naandika uzi kama ifuatavyo

Wanawake ni chombo cha utajiri sema hujui jinisi gani ya kukitumia kuvuna utajiri ila unajua jinisi ya kukitumia kam chombo cha anasa.

Naimani mwanamke ana nguvu kubwa kwenye kila mafanikio yako kama utamtumia ipasavyo na akakupenda kweli

Mwanamke akisema aamue kufanya kitu kwenye hii dunia hashikiki iwe biashara ,elimu,n.k ndio maana mababu waliakaataa kuwapeleka shule

Nataka niwape somo vijana kuwa mtumie ulienae kuvuna umilionare sio kuchakata nyapu tu uku unazeeeka utazikwa na boksi

Uzi tayari

Sent using Jamii Forums mobile app
leo, wamekupa vitu hatari sana, mbona sifa zote hizi!
 
Back
Top Bottom