painboy
Senior Member
- Dec 27, 2019
- 110
- 51
Nikiwa na lepe la usingizi naandika uzi kama ifuatavyo
Wanawake ni chombo cha utajiri sema hujui jinisi gani ya kukitumia kuvuna utajiri ila unajua jinisi ya kukitumia kam chombo cha anasa.
Naimani mwanamke ana nguvu kubwa kwenye kila mafanikio yako kama utamtumia ipasavyo na akakupenda kweli
Mwanamke akisema aamue kufanya kitu kwenye hii dunia hashikiki iwe biashara ,elimu,n.k ndio maana mababu waliakaataa kuwapeleka shule
Nataka niwape somo vijana kuwa mtumie ulienae kuvuna umilionare sio kuchakata nyapu tu uku unazeeeka utazikwa na boksi
Uzi tayari
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanawake ni chombo cha utajiri sema hujui jinisi gani ya kukitumia kuvuna utajiri ila unajua jinisi ya kukitumia kam chombo cha anasa.
Naimani mwanamke ana nguvu kubwa kwenye kila mafanikio yako kama utamtumia ipasavyo na akakupenda kweli
Mwanamke akisema aamue kufanya kitu kwenye hii dunia hashikiki iwe biashara ,elimu,n.k ndio maana mababu waliakaataa kuwapeleka shule
Nataka niwape somo vijana kuwa mtumie ulienae kuvuna umilionare sio kuchakata nyapu tu uku unazeeeka utazikwa na boksi
Uzi tayari

Sent using Jamii Forums mobile app

