PostGE2025 Nguvu inayotumiwa na TBC kubembeleza amani ingetumika wakati kina mdude wanatekwa tusingefika hapa tulipofika

PostGE2025 Nguvu inayotumiwa na TBC kubembeleza amani ingetumika wakati kina mdude wanatekwa tusingefika hapa tulipofika

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

Superbug

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
15,812
Reaction score
40,297
Viongozi wetu walijisahau sana watu walikuwa wanatekwa Kila baada ya muda mfupi Yani utadhani mfuga kuku anachagua kuku wa kuchinja bandani kwake. Na viongozi hawakuonyesha kushtushwa hata kidogo. Waliona sawa.

Sasa Leo wametindinganya mambo TBC inakuja na vipindi vya kujikomba Kwa vijana. Asubuhi mpaka jioni ni uzalendo na malezi Kwa vijana na mikopo hii ni ghiliba. Haya mambo yalitakiwa yasemwe wakati utekaji umepamba moto. Kwasasa ni kama tumechelewa mpaka jamii imewakinahi.
 
Viongozi wetu walijisahau sana watu walikuwa wanatekwa Kila baada ya muda mfupi Yani utadhani mfuga kuku anachagua kuku wa kuchinja bandani kwake. Na viongozi hawakuonyesha kushtushwa hata kidogo. Waliona sawa.

Sasa Leo wametindinganya mambo TBC inakuja na vipindi vya kujikomba Kwa vijana. Asubuhi mpaka jioni ni uzalendo na malezi Kwa vijana na mikopo hii ni ghiliba. Haya mambo yalitakiwa yasemwe wakati utekaji umeoamba moto. Kwasasa ni kama tumechelewa mpaka jamii imewakinahi.
Kwa bahati mbaya hiyo TBC haisikilizwi na vijana ama waandamanaji.
 
Viongozi wetu walijisahau sana watu walikuwa wanatekwa Kila baada ya muda mfupi Yani utadhani mfuga kuku anachagua kuku wa kuchinja bandani kwake. Na viongozi hawakuonyesha kushtushwa hata kidogo. Waliona sawa.

Sasa Leo wametindinganya mambo TBC inakuja na vipindi vya kujikomba Kwa vijana. Asubuhi mpaka jioni ni uzalendo na malezi Kwa vijana na mikopo hii ni ghiliba. Haya mambo yalitakiwa yasemwe wakati utekaji umeoamba moto. Kwasasa ni kama tumechelewa mpaka jamii imewakinahi.
Hehehe
 
Siku zile Waziri Mkuu Pinda anaambiwa kuwa yeye ni kuongozi aingilie kati yeye anacheka kwa dharau, upumbavu umewajaa viongozi wengi wa ccm.
Yaani kwao kunyanyasika kwa wananchi wanaona ni fahari.
 
Siku zile Waziri Mkuu Pinda anaambiwa kuwa yeye ni kuongozi aingilie kati yeye anacheka kwa dharau, upumbavu umewajaa viongozi wengi wa ccm.
Yaani kwao kunyanyasika kwa wananchi wanaona ni fahari.
Inasikitisha sana
 
Viongozi wetu walijisahau sana watu walikuwa wanatekwa Kila baada ya muda mfupi Yani utadhani mfuga kuku anachagua kuku wa kuchinja bandani kwake. Na viongozi hawakuonyesha kushtushwa hata kidogo. Waliona sawa.

Sasa Leo wametindinganya mambo TBC inakuja na vipindi vya kujikomba Kwa vijana. Asubuhi mpaka jioni ni uzalendo na malezi Kwa vijana na mikopo hii ni ghiliba. Haya mambo yalitakiwa yasemwe wakati utekaji umeoamba moto. Kwasasa ni kama tumechelewa mpaka jamii imewakinahi.
Na wewe unawezaje kuangalia Tbc?
 
Viongozi wetu walijisahau sana watu walikuwa wanatekwa Kila baada ya muda mfupi Yani utadhani mfuga kuku anachagua kuku wa kuchinja bandani kwake. Na viongozi hawakuonyesha kushtushwa hata kidogo. Waliona sawa.

Sasa Leo wametindinganya mambo TBC inakuja na vipindi vya kujikomba Kwa vijana. Asubuhi mpaka jioni ni uzalendo na malezi Kwa vijana na mikopo hii ni ghiliba. Haya mambo yalitakiwa yasemwe wakati utekaji umepamba moto. Kwasasa ni kama tumechelewa mpaka jamii imewakinahi.
Hicho kituo kingetembelewa na kusalimiwa mara ya kwanza sasa hivi tusingekuwan na kelele
 
Kesho Ayubu atakuwa Ak47. Bila shaka walimsikia na amekabidhiwa mzigo.
 
Back
Top Bottom