Nguruwe wadogo wanauzwa

Nguruwe wadogo wanauzwa

MUJO

Member
Joined
May 18, 2014
Posts
59
Reaction score
4
Nnauza Nguruwe wadogo Kwa wingi kuanzia watano au zaidi. Hasa kwa wale wanao taka kufuga Wapo kati ya miezi 4,5 na 6. Bei tunaelewana. Napatikana Hombolo Dodoma. Tuwasiliane 0789656265
 
Kaka hao nguruwe ni wakisasa au kienyeji. Pls tell na unaweza supply wangapi?
 
Nnauza Nguruwe wadogo Kwa wingi kuanzia watano au zaidi. Hasa kwa wale wanao taka kufuga Wapo kati ya miezi 4,5 na 6. Bei tunaelewana. Napatikana Hombolo Dodoma. Tuwasiliane 0789656265
Hao nguruwe ni dini gani?
 
Wewe uliyeuliza nguruwe ni dini gani wewe ni pumba kabisa! hebu weka bei mkuu tuchangamkie wengine tupo hapa hapa dom.
 
Nnauza Nguruwe wadogo Kwa wingi kuanzia watano au zaidi. Hasa kwa wale wanao taka kufuga Wapo kati ya miezi 4,5 na 6. Bei tunaelewana. Napatikana Hombolo Dodoma. Tuwasiliane 0789656265
nje ya dodoma una safirisha?
 
Wewe uliyeuliza nguruwe ni dini gani wewe ni pumba kabisa! hebu weka bei mkuu tuchangamkie wengine tupo hapa hapa dom.
Sawa mdau.. Toka nitoe hili tangazo wamechukuliwa kwelikweli.. Kwasasa wamebaki nguruwe 7 tu, majike mawili unaweza pandisha kuanzia mwezi 12/january jike moja lina mimba linazaa siku yeyote ndan ya mwezi huu wa kumi, madume mawili yamehasiwa unanepesha mwezi 12/1 utaweza kuyauza.na madume mawili mengine ni mbegu utaweza kuyatumia kuanzia april. Hii itakuwa faida kubwa hasa kama unaongeza au ndo unaanza kufuga. Hao wote jumla bei yake ni 950000. Bei inaongeleka unaweza kufika saiti Hombolo karibu na sekondari. Karibu sana!
 
nguruwe yesu aliwatupia mashetani yakaanza kulia hovyo na kukimbia kimbia
 
Nahitaji sana nguruwe ila uliposema upo dodoma nimepata ukakasi sana.tangu nikikumbuka yale mauaji ya watafiti waliouwawa na wagogo naogopa kuja dodoma kuchukua hao nguruwe.
Nisije nikaambiwa nimeiba nguruwe bure nikapigwa kiberiti
 
Back
Top Bottom