Nguruwe bei poa...MOSHI

Nguruwe bei poa...MOSHI

mkalikali

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
363
Reaction score
131
pata nguruwe kwa bei poa kabisa. niko moshi. ni "pm" kama uko tayari tufanye biashara.
 
Bei ni kama ifwatavyo.
Kibwagala - Tsh 15000.
Mkubwa - Tsh 20000
Nusu kilo mkaango - Tsh 1000
Kilo - Tsh 2000.
niko Moshi na ndio bei hiyo
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Mmmh rombo kuna gonjwa la hiyo makitu ukila nyama yake kichwa kinavimba hadi unaresti in pisi
 
Bei ni kama ifwatavyo.
Kibwagala - Tsh 15000.
Mkubwa - Tsh 20000
Nusu kilo mkaango - Tsh 1000
Kilo - Tsh 2000.
niko Moshi na ndio bei hiyo

Ebwanee kibudu nini?
 
Mandela bei ni TSH 320000/= kwa kila mmoja mzigo upo wa kutosha.. ni wakubwa na wana afya njema.
 
Last edited by a moderator:
Hello..... Karibuni Sana Katika group linalohusu ufugaji wa nguruwe

Karibu Sana wewe mtaalamu wa mifugo, mfugaji, mnunuzi, pamoja na Wale wenye kiu ya kujifunza zaidi kuhusu ufugaji huu wenye tija na kipato cha uhakika.....

Click link ifuatayo kujiunga......

Zingatia kujitambulisha pindi tu uingiapo katika group hili
ZINGATIA KUJITAMBULISHA PINDI TU UINGIAPO KATIKA GROUP HILI... JINA, MKOA, SHUGHULI

TSA- PIG FARMING
 
mkuu ungeweka picha ingekuwa nzuri zaidi.
Na kama mtu anachukua wengi mfano 10 na kuendelea bei inakuwaje.
Pia naomba kujua nguruwe walipo, maana moshi kubwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom