Ngulangwa awania umakamu mwenyekiti CUF

Elias Msuya

Senior Member
Joined
Dec 23, 2011
Posts
173
Reaction score
671
Your browser is not able to display this video.

Aliyekuwa Mkurugenzi wa Mawasilino wa CUF, Mohamed Ngulangwa amejitojitokeza kuwania nafasi ya umakamu mwenyekiti wa CUF katika uchaguzi wa marudio wa chama hicho ulioamuliwa na Msajili wa vyama vya Siasa.

Februari 13, 2026 Msajili wa Vyama Vya Siasa alitengua ushindi wa Profesa Lipumba na safu yake ya uongozi akieleza kukubaliana na malalamiko ya wanachama waliodai kuwa kanuni za uchaguzi zilikiukwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…