KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,902
- 9,323
Nikiwa napita katika mitaa ya Jiji la Dar es Salaam maeneo ya SERENA HOTEL Nilikutana na watoto wawili wakiwa wamelala katika lango lakuingilia katika Hoteli hii kubwa ya SERENA HOTEL..
Kwa haraka nilitambua kuwa siyo wamelala kwa raha la asha! Nikwamba walikuwa wamechoka na zaidi hawajala kitu!......Lakini nikakumbuka baadhi ya mashirika ya kusaidia mtoto yapo mengi! Je yanamsaidia mtoto yupi?au niwatoto waliopo mifukoni mwao?
Nikakumbuka kuna siku nilipoenda ofisi ya Makamu wa Rais kulikuwa na kitengo kinashughulikia kusajili Mashirika yasiyo ya kiserikali mashirika ya kuaidia watoto yalikuwa zaidi ya 100!! Ya nje yalikuwa zaidi 58 nchi nzima hivyo unaweza kuona kuwa yote haya mashirika yapo kwa mipango yao binafsi!
Nilienda Rwanda Kigali mwaka jana Mashirika ya kumsaidia mtoto lazima yamsaidie mtoto na lazima kila shirika liwe na mfanyakazi wa Serikali.Hapa ni tofauti sana!
Tazama hapa hawa watoto walivyolala na na jua linawachoma Tunaomba wanaohusika fuatilieni haya mashirika.
Kwa haraka nilitambua kuwa siyo wamelala kwa raha la asha! Nikwamba walikuwa wamechoka na zaidi hawajala kitu!......Lakini nikakumbuka baadhi ya mashirika ya kusaidia mtoto yapo mengi! Je yanamsaidia mtoto yupi?au niwatoto waliopo mifukoni mwao?
Nikakumbuka kuna siku nilipoenda ofisi ya Makamu wa Rais kulikuwa na kitengo kinashughulikia kusajili Mashirika yasiyo ya kiserikali mashirika ya kuaidia watoto yalikuwa zaidi ya 100!! Ya nje yalikuwa zaidi 58 nchi nzima hivyo unaweza kuona kuwa yote haya mashirika yapo kwa mipango yao binafsi!
Nilienda Rwanda Kigali mwaka jana Mashirika ya kumsaidia mtoto lazima yamsaidie mtoto na lazima kila shirika liwe na mfanyakazi wa Serikali.Hapa ni tofauti sana!
Tazama hapa hawa watoto walivyolala na na jua linawachoma Tunaomba wanaohusika fuatilieni haya mashirika.