NGO's kwa wake wa maraisi.

HGYTXK

Senior Member
Oct 3, 2011
194
70
Kumeibuka wimbi la wake wa maraisi kuanzisha taasisi za kijamii,hili limepata kasi kwa mama Ana na Salma.Swali langu ni mama Maria na Siti nao walikuwa au wanazo taasisi?.
Nawasilisha.
 
Kipindi cha kina mama maria na siti hata NGO's nyngne za kawaida hazikuwepo km hv leo,so kila kitu na wkt wake
 
Unajua wake wa marahis wakiwa na kango cha kuongeza kipato ni rahisi kuchangiwa na watu au taasisi ambazo zinataka upendeleo kutoka serikalini ndo maana kila mtu anaona dili kuanzisha.
 
Back
Top Bottom