Kumeibuka wimbi la wake wa maraisi kuanzisha taasisi za kijamii,hili limepata kasi kwa mama Ana na Salma.Swali langu ni mama Maria na Siti nao walikuwa au wanazo taasisi?.
Nawasilisha.
Unajua wake wa marahis wakiwa na kango cha kuongeza kipato ni rahisi kuchangiwa na watu au taasisi ambazo zinataka upendeleo kutoka serikalini ndo maana kila mtu anaona dili kuanzisha.