tonicimmobility
JF-Expert Member
- Jun 17, 2025
- 493
- 1,038
Mgombea Udiwani Kata ya Forest jijini Mbeya kupitia Chama Cha Mapinduzi CCM Yassin Ngonyani amezindua Kampeni kwa kuweka vipaumbele vyake vya kusaidia makundi mbalimbali ya wafanyabiashara ndogondogo katika kuwainua kiuchumi ikiwemo kuwasaidia kupata mikopo ya asilimia 10 ya Halmashauri ya jiji na kuachana na mikopo ya kausha damu
Soma pia: Wananchi Terati Arusha wafunga barabara wakimkataa Mgombea Udiwani aliyeteuliwa na kamati ya Kata CCM
Soma pia: Wananchi Terati Arusha wafunga barabara wakimkataa Mgombea Udiwani aliyeteuliwa na kamati ya Kata CCM