Ngono zembe sasa basii

Ngono zembe sasa basii

Tizi sio substitution ya sex, pia maji hayasahau mkondo kamwe! ila nakupa big up kwa kupima maana inataka moyo!
Trust me.we fanya mazoezi ya gym au boxer halafu uone kama hamu ya sex inakujaga.Mwili hukataa vitu km ivyo automatically

Itategemea lakin kama unafanya tiz kweli au unacheza cheza Tu.Mi nafanya kweli sababu niliwai fanya kipindi cha nyuma
 
Kusex unaweka kando.. Naona unahamia rasmi kwenye chama la wana a.k.a AIDS free zone-nyetoo
Hahahah hapana mkuu,Ni mazoezi ya mwili Tu hadi kau HB kaludi.

Nyeto ilinikataa miaka mingi ilopita,nashukiru ili balaaa lilinipitaga kushoto
 
Back
Top Bottom