Ngono zembe sasa basii

Ngono zembe sasa basii

Msukuma wa dar

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2016
Posts
1,160
Reaction score
1,201
Niaje wajuba
Aiseee Leo ninafuraha Sana wakuu.Nimetoka kupima ngoma muda huuu na majibu yako safiii yani swafiiii yani bariiiiidaaaa hadi raha.

Aisee kumbe ukipima ngoma na ukijikuta huna ndo unakuwa na furaha kiasi hiki,Ngoja nimalizie funda la mwisho Kisha niendelee kutype.Raha sana wadau,na nyie mkapime

Wakuu ni hivi, kwa miaka mingi nimekuwa ni muhanga hasa nikiskia habari za kucheki ngoma,yani nikibananishwa hadi tumbo linanichafuka kabisa. Sio mzee wa peku ila hili swala kwangu ilikuwa mtihani tena wa hesababu za Cycle.

Na sasa habari za kusex naweka kando rasmi kwa sababu hata dada zetu nao awaeleweki.Mfano,Kuna manzi flani niliduu nae,bda ya siku kazaa akaja getho na majibu ya vipimo ya HIV,kumuuliza eti nilipima HIV.dah hadi tumbo liliuma yani kwa maana kupima kwake yeye ni sawa na nilipima Mie.Adhabu yake nilimuacha.


Sasa Ni mazoezi Sana,kusali sana,Pombe nayo naacha rasmi nkitoka apa hadi kau hb kaludi

#Msukuma
 
we wafurahishe tu humu ila kuacha uzinzi kama umezoea ni mtihani mkubwa ni kama vile wana UKUTA kufanikisha maandamano kwa wale majamaa wanaovaa madude ya kuchomelea

usichukulie serious ni utani tu kila la kheli ma boi
 
we wafurahishe tu humu ila kuacha uzinzi kama umezoea ni mtihani mkubwa ni kama vile wana UKUTA kufanikisha maandamano kwa wale majamaa wanaovaa madude ya kuchomelea

usichukulie serious ni utani tu kila la kheli ma boi
Tuombeane mkuu,stresss za ngoma staki tena
 
tena ni rahisi zaidi kuendeleza ngono zembe haswa kwa mtu aliyezoea hivyo...hapo mkuu ndo utazidisha kuteleza, trust me Msukuma wa dar
Mkuu mazoezi yananifanyaga nichoke Sana so hata uzinzi uwa naweka kando kabisa,sema ndo vile kujiendekeza Tu.ila kwa sasa Ni tizi tu,uzinzi staki. #TUOMBEANE
 
nasubiri ur next thread about ur sex life with ur new gf. hahahhaha
 
Hongera kwa kupima na kukutwa huna ngoma
 
Niaje wajuba
Aiseee Leo ninafuraha Sana wakuu.Nimetoka kupima ngoma muda huuu na majibu yako safiii yani swafiiii yani bariiiiidaaaa hadi raha.
Sasa Ni mazoezi Sana,kusali sana,Pombe nayo naacha rasmi nkitoka apa hadi kau hb kaludi

#Msukuma
Haya uje utupe mrejesho baada ya miezi miwili kama umefanikiwa
 
Mimi siku ya kwanza kupima niliona kawaida...nikarudia mara ya pili, hapo nikajiapisha sishiki KE tena!!!...Hazikupita siku tatu nikampiga mtu kuni...Kuachana na mgegedo siyo ishu rahisi, cha muhimu tumia kinga kila mara...ukishapima mara 1 au 2, huogopi tena kupima hata ukiamshwa usiku wa manane unapima tu.
 
Kupima inahitaji moyo hasa kama hujawahi pima kabisa.Hongera mkuu
 
Kusex unaweka kando.. Naona unahamia rasmi kwenye chama la wana a.k.a AIDS free zone-nyetoo
 
Mkuu mazoezi yananifanyaga nichoke Sana so hata uzinzi uwa naweka kando kabisa,sema ndo vile kujiendekeza Tu.ila kwa sasa Ni tizi tu,uzinzi staki. #TUOMBEANE
Tizi sio substitution ya sex, pia maji hayasahau mkondo kamwe! ila nakupa big up kwa kupima maana inataka moyo!
 
Back
Top Bottom