KERATO MOMBAA
JF-Expert Member
- Feb 4, 2025
- 4,400
- 5,920
SAWA TAJIRI MWENYE MAWAZO YA USHUJAA..Hizi ni kauli za wavivu na masikini
KWANI MOTIVATION SPEAKERS HUWA SI WATALAAMU WA NYANJA HUSIKA?Uko sahii ila sisi sio motivation speakers ni wataalamu na wafugaji wa muda. Unaweza kufahamu zaidi kuhusu sisi. Youtube @RubabaTv Blog. Tanzania na Kilimo
hakikaSAWA TAJIRI MWENYE MAWAZO YA USHUJAA..
unataka baadaye uanze kusema jiunge whatsapp, uanze kusema kujiunga whatsapp ni tsh 30000 kwa mwaka..je wakiwa 30 manake ni laki tisa kwa mwaka, hujui kuwa hao ndo ng'ombe wenyewe?
ACHA KUFANYA WATU WAJINGA WEWE.
Ndugu ulitaka mwaka mzima nitoe elimu bure 😅SAWA TAJIRI MWENYE MAWAZO YA USHUJAA..
unataka baadaye uanze kusema jiunge whatsapp, uanze kusema kujiunga whatsapp ni tsh 30000 kwa mwaka..je wakiwa 30 manake ni laki tisa kwa mwaka, hujui kuwa hao ndo ng'ombe wenyewe?
ACHA KUFANYA WATU WAJINGA WEWE.
trashBasi endelea kuminyana kwenye post za wanaume wenzako wanaopambana
mbona idea tuekwishaipata, ni kuwavuta ng'ombe wengi kwenye whatsapp group na kuwakamua 30K kwa mwaka!Ni kweli kabisa.
Sababu unabisha vitu ambavyo huna Idea navyo
KWANI MOTIVATION SPEAKERS HUWA SI WATALAAMU WA NYANJA HUSIKA?
Sawambona idea tuekwishaipata, ni kuwavuta ng'ombe wengi kwenye whatsapp group na kuwakamua 30K kwa mwaka!
Zipo ndaniUnapata laki 9 baada ya kutoa gharama za uendeshaji au a gharama zipo hukohuko ndani zinatakiwa zitoke?
Lipa pesa ya tangazoUnasikia vizuri kabisa!
Ng’ombe mmoja wa maziwa anaweza kukuingizia hadi Tsh 900,000 kwa mwezi
✨ Ushuhuda huu unatoka kwa wafugaji waliopata
✅ Ng’ombe Bora
✅ Mafunzo ya Kitaalamu
kutoka kwetu!
Na wewe unaweza!
⏰ Usichelewe – fursa bado ipo!
Wasiliana nasi leo:
📞 0764 148 221
Upate Ng’ombe Bora au Mafunzo ya Ufugaji Kibiashara.
#NgombeWaMaziwa #FursaZaKilimo #KilimoBiashara
#NgombeBora #MaziwaNiBiashara #FugaKibiashara
#RubabaMedia #UfugajiWaKisasa #TanzaniaNaKilimo
Nimlipe nan nduguLipa pesa ya tangazo
Fanya kazi ndugu. Kama unalipia kadi ya yanga unaona tabu kulipia taaluma ambayo mwezako kasomeaHao ndio vijana waliomaliza SUA n.k wameona bora wafugie ng'ombe wa maziwa huko Whatsapp. Yaani wanatoza hela kupitia Whatsapp ambayo hata mwenye hiyo Whatsapp hapati toka kwa 'ng'ombe' mmoja
Usidhani umesoma peke yako!Fanya kazi ndugu. Kama unalipia kadi ya yanga unaona tabu kulipia taaluma ambayo mwezako kasomea
Hivi humu hua hamna kutufe cha block wapumbavu?Usidhani umesoma peke yako!
Pia kujisemea umesomea kitu flani sio tiketi ya kutapeli watu wasio na uelewa.
Nikikutaka ulete uthibitisho wa usajili wa maudhui unayodai unawafundisha watu, je unaweza kufanya hivyo?
Popote mnapeleka??Mtamba mwenye mimba million 3.5
Bila shaka ila gharama za usafiri zinakua ni juu ya mtejaPopote mnapeleka??
Taabu gani mkuu?Hizo ni story tu, kuna jamaa ana ng'ombe wanne wa maziwa ila tabu iko pale pale, waambieni watu ukweli!
Zinakuaje hizo gharama??Bila shaka ila gharama za usafiri zinakua ni juu ya mteja