Ngoma ya escrow kumbe ni standard chartered

Sawa. Basi toa ya kwako.
.......usikasirike; wewe weka hoja hapa uone tutakavyoidadavua sio propaganda za kienyeji; kaja na mwenzio hapaa, "fedha za ESCROW sio za umma," well, hata kama, ndio zichotwe tu vile!!!!
 
Maelezo marefu ya kutetea wizi, wizi ni wizi. Hatuwezi kujustify wizi kwa kigezo cha kumuendeleza mtoto wa kike.
 
Mitambo yenu wenyewe kwa ile 50% ya hisa za PAP, wacha TANESCO na watanzania waendelee kulala doro. Like you said, kudos Kikwete.
 
Hii drama ina episode na twists ngapi jamani? Subiri niongeze popcorn.
 
Zungusheni tuuuu, hakuna wizi halali, waweke hadhari tujue mbivu na mbichi wakiamua kuwasamehe sawa, wakiwawajibisha poa. Tunachojua wameiba haaaaaaaaa.
 

Mama Tiba naye yumo! Huyu ndo alikuwa anawekwa kwenye orodha ya Wagombea Urais! Kweli CCM kila mtu kaoza.
 
ok. tumekuelewa, lakini bring back our money you fisadi wa escrow and allies.
 

kumbe ndani jm kuna kundi kubwa la majuha watu wasiokubali ukweli sasa naelewa tz tunachezewa kwa sababu ni wazembe wa kufukiri
 
Msituchoshe! Hii habari iko kwenye magazeti ya leo kama "MAKALA YA MTANGAZAJI". Nmeiona ktk Mwananchi na Jamhuri. Kwa ufupi tu, Mtajisafisha sana mwaka huu, ila angalieni msitoke wachafu!
 
Na hata ukikiuzia chama chako mafuso chakavu mawili kwa millioni mia sita, bei ambayo unaweza kununuwa kumi na mawili, wewe unaonekana wa maana tu.

Kwani huwa unajisikiaje ukiambiwa ukweli we niambie tu usiogope.
 

Pendekezo la kununu mitambo Mipya ya Mafuta lilikuwepo na lilipelekwa wizarani kwa Waziri wa NISHATI NA MADINI wa wakati huo, Ndugu JAKaYA MRiSHO KiKWETE, Akalikataa hilo pendekezo kwa maelezo kwamba Raisi ALHjI ALLy HaSSAN MwINYI amepata mwekezaji IPTL
 
Faiza you are better than this......ni vipi kama ukinyamaza kutojibu issues kama hizi

Mwee bora na wewe umeliona hili tatizo halafu msomi na nje kakaa hivi faiza fox huwa unafanya kusudiii au dharauu ? Manake huwa sikusomi ujue mbili haumo wala tatu.
 
Mama Tiba naye yumo! Huyu ndo alikuwa anawekwa kwenye orodha ya Wagombea Urais! Kweli CCM kila mtu kaoza.

Hapo ndio maandiko yanapotimia Mungu humuumbua mnafiki na wapo wengi tu tuombeane uzima.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…