Zee la Mandandu
JF-Expert Member
- Nov 30, 2022
- 645
- 1,584
Hata kama umemwambia Manyanza asome, ila nami nimesoma japo sijagundua kitu.Manyanza anza kusoma kutoka namba 10 kupanda juu kwa sauti ya kati ukifika namba moja kuna kitu utagundua 🤣🤣🤣🤣
Hata kama umemwambia Manyanza asome, ila nami nimesoma japo sijagundua kitu.Manyanza anza kusoma kutoka namba 10 kupanda juu kwa sauti ya kati ukifika namba moja kuna kitu utagundua 🤣🤣🤣🤣
Noma sana enzi hizo... Mimi my best ni maneno mbofumbofu.View attachment 2936730
Mmasai Abel Motika “ Mr Ebbo" alikiwasha Sana na Ngoma Kali zenye lafudhi na pigo za kimasai zilizokua na komedi pamoja na mafunzo ndani yake.
.
Ngoma gani unaikumbuka toka Kwa huyu mwamba?
.
1.Mi mmasai
2.Bado
3.Kamongo
4.Tabia Mbaya
5.Maneno mbofumbofu
6.Bodaboda
7.Uswazi
8.Njaa
9.Pombe
10.Ganja
.
Hii ni mistari ipo kwenye ngoma inaitwa Ganja
.
Moja jumulisha mojaa, utapata kumi na moja.
Ukitaka andika nanee,Sifuri inabeba nyingine.
Ukisema tusile ungaa,Ugali itasongwa na nini?
Hivi ndivyo anavyoimba, Yombene akikula ganja.
Saa nane muchana jamaa ana taa ya chemuli anayata kwenda chooni..Ganja bana 😄🙌
Ulikuwa Wimbo Mzuri. Niliishi naye kisosora huyu mzee.Noma sana enzi hizo... Mimi my best ni maneno mbofumbofu.
Lakini nasikia siku zake za mwisho aliteseka sana aisee. Kuna muda huwa nakuwa na hamu ya kusikiliza ngoma za zamani ambazo sijazisikiliza mdua nikija zisikiliza production inanikata stimu wka sababu ya low quality now ndipo na notice hasa zile ngoma ambazo zilikuwa zimeundwa nje ya studio ya mj, bongo records, bonilove mikamwamba, nyingi zinakuwa na production mbaya.Ulikuwa Wimbo Mzuri. Niliishi naye kisosora huyu mzee.
😂😂😂 hivi wakati unapanga list hukujua?🤣🤣🤣🤣 We fwalaaa sana
Ulikuwa verified indeedMishangazi ya Tanga ilimuua huyu jamaa..alikua na studio yake mitaa ya Kisosora,alivyopata fame kidogo akaanza kuwala kwa fujo! Na Ukimwi wa kipindi kile ulikua verified..btw apumzike kwa amani!
Tatizo unasoma kwa herufi ndogo, soma kwa herufi kubwa 🤣🤣🤣Hata kama umemwambia Manyanza asome, ila nami nimesoma japo sijagundua kitu.
Soma kwa sauti utaona kuwa huyo Manyanza pamoja na upuuzi mwingi lakini yeye bado ni mmasai na sio msukuma!Hata kama umemwambia Manyanza asome, ila nami nimesoma japo sijagundua kitu.
Yes,najua wewe ni msukuma but kwa mujibu wa mpangilio hapo juu wewe bado ni mmasai!🤣🤣🤣 Mi Msukuma aisee huyu Lamomy ni boyaaa wa kiwango Cha SGR
Kwendraaaaa 🤣🤣🤣🤣I hate you badly 😡😡😡😡