Ngoma gani unaikumbuka toka Kwa huyu mwamba Mr Ebbo?

View attachment 2936730
Mmasai Abel Motika “ Mr Ebbo" alikiwasha Sana na Ngoma Kali zenye lafudhi na pigo za kimasai zilizokua na komedi pamoja na mafunzo ndani yake.
.
Ngoma gani unaikumbuka toka Kwa huyu mwamba?
.
1.Mi mmasai
2.Bado
3.Kamongo
4.Tabia Mbaya
5.Maneno mbofumbofu
6.Bodaboda
7.Uswazi
8.Njaa
9.Pombe
10.Ganja
.
Hii ni mistari ipo kwenye ngoma inaitwa Ganja
.
Moja jumulisha mojaa, utapata kumi na moja.
Ukitaka andika nanee,Sifuri inabeba nyingine.
Ukisema tusile ungaa,Ugali itasongwa na nini?
Hivi ndivyo anavyoimba, Yombene akikula ganja.
Saa nane muchana jamaa ana taa ya chemuli anayata kwenda chooni..Ganja bana 😄🙌
Noma sana enzi hizo... Mimi my best ni maneno mbofumbofu.
 
Ulikuwa Wimbo Mzuri. Niliishi naye kisosora huyu mzee.
Lakini nasikia siku zake za mwisho aliteseka sana aisee. Kuna muda huwa nakuwa na hamu ya kusikiliza ngoma za zamani ambazo sijazisikiliza mdua nikija zisikiliza production inanikata stimu wka sababu ya low quality now ndipo na notice hasa zile ngoma ambazo zilikuwa zimeundwa nje ya studio ya mj, bongo records, bonilove mikamwamba, nyingi zinakuwa na production mbaya.
Mr ebbo nakumbuka kila weekend nakaa kusikiliza radha kumi za bongo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom