kasuku mtu
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 321
- 94
Ujumbe: my brother ngereja unakumbuka ukiwa wizara ya nishati na madini uliruhusu kungolewa mabango ya kanisa la full gospel pale mwenge kanisani pamoja na tshirt zote walizokuvalia waumini wale masikini kwa sadaka zao ndi zilighalimu ujenzi wa mabango yale wali mlilia mungu daima.
Basi yamepita mengi huku dumu kwenye uwaziri uliondoka kwa kashifa pia bado juzi juzi umevuliwa ujumbe wa Nec imeniuma sana kuona bado hujapajua ulipo jikwaa.
Kama unautaka URais toba itakuongoza utafanikiwa zingatia hili tunajua wewe ni mchapa kazi na ni kiongozi bora.
ahh me nilisahau kukusalimu na kuwasalimu waungwana wa hii jamii.
Basi yamepita mengi huku dumu kwenye uwaziri uliondoka kwa kashifa pia bado juzi juzi umevuliwa ujumbe wa Nec imeniuma sana kuona bado hujapajua ulipo jikwaa.
Kama unautaka URais toba itakuongoza utafanikiwa zingatia hili tunajua wewe ni mchapa kazi na ni kiongozi bora.
ahh me nilisahau kukusalimu na kuwasalimu waungwana wa hii jamii.