kiraia
JF-Expert Member
- Nov 20, 2007
- 1,716
- 999
Hata mimi tangu June mwaka jana nimeomba kubadilishiwa mita yangu nipewe LUKU jamaa wameniambia maombi yaliyopo yanazidi idadi ya mita zilizoagizwa!
Kigarama toa kitu kidogo hata leo Jumapili unaletewa mita na kufungiwa, "ukitaka kula lazima uliwe" by JK