nziriye
JF-Expert Member
- Jan 23, 2011
- 1,050
- 365
- Thread starter
- #21
Jamani hebu muacheni huyu jamaa na mawazo yake mbona mnataka kumtoa roho, inawezekana pia imemtokea na anajaribu kulinganisha mawazo yake na wanajamii pia
eeeeh...na wewe umejitutumua kuchangia mbna wenzako great thinker wameelewa na wamekaa kimya,okey imeeleweka hvyo.happy valentine ernie