MMkuu Rocky umeona eeeeeee ukiwa maarufu lazima wakufungulie ukurasa kwenye magazeti, sisi wengine wa Bongo hatufahamiki sana huku lakini tunafika mara kwa mara kwa ajili ya shughuli zetu za kutuingizia japo vijisenti.
Mkuu Rocky nimepokea maelekezo kwa uzuri kabisa ngoja niyafanyie kazi. Mchana mwema.M
Mkuu pale kuna wenyewe bana wengine sura tuu zikionekana pale ni balaa kesho yake utaulizwa ulikuwa wafanya nini pale
May be upali kausafiri kako mbali utembee kwa miguu
Mtafute Preta narok huko au facebook and tweeter au pale skylounge pale philips au viota vipta vya moshono na sun down carnival
Mimi ndo niko kwenye maandalizi yangu ya mchana, kikiiva nitawajulisha.
View attachment 86867
cc: Bujibuji, Mr Rocky, sosoliso, Paloma, Preta, Elli, Kaizer, MziziMkavu, Boflo.
Hahahaaaaaaaa kijijini petu hapo bhana na hio ni mboga yetu ya siku hio
Mpwa mbona sioni kisu?
Angalia vizuri kimewekwa kichwani usawa wa macho yake.Mpwa mbona sioni kisu?
Huu sasa ndio mnuso wa kweli, wapi hiyo? nimeipenda sana hii!!
Mimi ndo niko kwenye maandalizi yangu ya mchana, kikiiva nitawajulisha.
View attachment 86867
cc: Bujibuji, Mr Rocky, sosoliso, Paloma, Preta, Elli, Kaizer, MziziMkavu, Boflo.