Ngarenaro leo.........

Dada mbona hata pic ya mnuso?au umeamua kuturusha roho?
 
Preta - leo umeanza asubuhi kupata "K-Vant"?
 
Last edited by a moderator:
Preta leo umeanza na cha Arusha au umeanza na Nyagi pale Narok
 
Last edited by a moderator:
Hiyo picha mbona imelalia kushoto yakheeee...
 
wapi sasa mkuu narok au facebook and tweeter pale
We sema wapi aise tutembeleane tupate mchemsho grafani11
Mkuu palepale Matak.. ndio kuzuri usiku kunapendeza sana. Wadau wengi hata kutoka mikoani lazima tukutane pale, leo utaniona nimevaa simple rubber, jeans ya blue mpauko na T-shirt ya Pundamilia.
 
Mkuu palepale Matak.. ndio kuzuri usiku kunapendeza sana. Wadau wengi hata kutoka mikoani lazima tukutane pale.

Mkuu pale hata parking ni issue aise yaani ukifika pale kesho yake kila mtu atakupigia simu kukuambia tulikuona pale
Hahahaha pale ni noma mkuu grafani11
 
Last edited by a moderator:
Mkuu pale hata parking ni issue aise yaani ukifika pale kesho yake kila mtu atakupigia simu kukuambia tulikuona pale
Hahahaha pale ni noma mkuu grafani11
Mkuu Rocky umeona eeeeeee ukiwa maarufu lazima wakufungulie ukurasa kwenye magazeti, sisi wengine wa Bongo hatufahamiki sana huku lakini tunafika mara kwa mara kwa ajili ya shughuli zetu za kutuingizia japo vijisenti.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…