Mbona hujatoa chanzo cha habari?pia sisi tutajuaje kama ndivyo ilivyo?Kama wewe umechaguliwa kwenye chuo au program ambayo hukuichagua kabisa kwenye zile 8 ulizoomba,na vile vile kama umechaguliwa kwenye 2nd round of application no matter uwe unasoma program zenye priority or non priority,anza kuandaa ada yako mapema tu coz mkopo haukuhusu kabisa{kwa kifupi mkopo ni kwa watu waliochaguliwa kwenye 1st round of application kwenye moja ya zile program zao 8 walizoziomba}kwa maelezo zaidi,unaweza kunipata kwenye number 0688528887.asanten
Kama wewe umechaguliwa kwenye chuo au program ambayo hukuichagua kabisa kwenye zile 8 ulizoomba,na vile vile kama umechaguliwa kwenye 2nd round of application no matter uwe unasoma program zenye priority or non priority,anza kuandaa ada yako mapema tu coz mkopo haukuhusu kabisa{kwa kifupi mkopo ni kwa watu waliochaguliwa kwenye 1st round of application kwenye moja ya zile program zao 8 walizoziomba}kwa maelezo zaidi,unaweza kunipata kwenye number 0688528887.asanten
Kama wewe umechaguliwa kwenye chuo au program ambayo hukuichagua kabisa kwenye zile 8 ulizoomba,na vile vile kama umechaguliwa kwenye 2nd round of application no matter uwe unasoma program zenye priority or non priority,anza kuandaa ada yako mapema tu coz mkopo haukuhusu kabisa{kwa kifupi mkopo ni kwa watu waliochaguliwa kwenye 1st round of application kwenye moja ya zile program zao 8 walizoziomba}kwa maelezo zaidi,unaweza kunipata kwenye number 0688528887.asanten
Mkubwa Perry ama kweli Mjumbe hauwawi!
pia it's cool ukitoa source ya taarifa hizi
source ya hii news,ni mimi mwenyewe leo nimekutana na loan officer wa heslb kanisani,kwa wale mliowah kufika pale ofic za heslb,kuna yule jamaa ctataka kumtaja jina lake,ofisi yake huwa iko pale room number 34,nadhani ofic yake kama cjakosea huwa imeandikwa loans disbursement department.
daah kaka ingekuwa pouwa sana kama ungetupatia tarehe rasmi ambayo watatoa mambo !!
mkuu,ckukumbuka kumuulza hlo swali,bt ktk maongezi yetu aliniambia wao wanaenda na time table,waliisha vitangazia vyuo vyote vifungue mwezi wa 10,sasa kwa vile ambavyo vitafungua kabla ya hapo,wao hawatakua wa kulaumiwa na vyuo hucka viangalie namna ya kuwa accomodate wanafunzi wao mpaka pesa ctakapotumwa hyo mwezi wa 10.
kwa iyo kitu ni mpaka mwezi wa kumi net ryt
hakuniambia majina ya mikopo yanatoka lini,bt alichoniambia pesa kupelekwa vyuoni ni kuanzia mwez wa 10,na pia kuna baadhi ya vyuo kama udsm na udom wao list ya waliopata mkopo iko tayari,hii ni kwa sababu ya ud na udom walipeleka list ya wanafunz waliowachagua mapema,ila kutokana na utaratbu ulvo,hawawez kutoa list ya vyuo viwil pekee,mpaka vyuo vyote vikamilike ndo watatoa majina yote kwa pamoja.
Kama wewe umechaguliwa kwenye chuo au program ambayo hukuichagua kabisa kwenye zile 8 ulizoomba,na vile vile kama umechaguliwa kwenye 2nd round of application no matter uwe unasoma program zenye priority or non priority,anza kuandaa ada yako mapema tu coz mkopo haukuhusu kabisa{kwa kifupi mkopo ni kwa watu waliochaguliwa kwenye 1st round of application kwenye moja ya zile program zao 8 walizoziomba}kwa maelezo zaidi,unaweza kunipata kwenye number 0688528887.asanten
je na wale wanoendelea na masomo ambao mwaka wa jana walikosa kabisa kwa maana ya NO LOAN xo wakaamua kuomba mwaka huu nao vip kutokana na dodosa dodosa yako nao watawa consider au ndo watachinjiwa baharini, majibu tafadhali mkuu
hilo swali lako cjaliuliza mkuu!
Kama wewe umechaguliwa kwenye chuo au program ambayo hukuichagua kabisa kwenye zile 8 ulizoomba,na vile vile kama umechaguliwa kwenye 2nd round of application no matter uwe unasoma program zenye priority or non priority,anza kuandaa ada yako mapema tu coz mkopo haukuhusu kabisa{kwa kifupi mkopo ni kwa watu waliochaguliwa kwenye 1st round of application kwenye moja ya zile program zao 8 walizoziomba}kwa maelezo zaidi,unaweza kunipata kwenye number 0688528887.asanten
hakuniambia majina ya mikopo yanatoka lini,bt alichoniambia pesa kupelekwa vyuoni ni kuanzia mwez wa 10,na pia kuna baadhi ya vyuo kama udsm na udom wao list ya waliopata mkopo iko tayari,hii ni kwa sababu ya ud na udom walipeleka list ya wanafunz waliowachagua mapema,ila kutokana na utaratbu ulvo,hawawez kutoa list ya vyuo viwil pekee,mpaka vyuo vyote vikamilike ndo watatoa majina yote kwa pamoja.