Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 31,151
- 88,836
nimepita kwenda oral ila
nimeamua kurudi kwetu tabora. sina ndugu naishi gest leo siku ya kumi na
sijui hiyo oral ni lini, basi tena sina uwezo wa kuendelea kukaa
mjini
Dah ***
nimepita kwenda oral ila
nimeamua kurudi kwetu tabora. sina ndugu naishi gest leo siku ya kumi na
sijui hiyo oral ni lini, basi tena sina uwezo wa kuendelea kukaa
mjini
Maneno yako ni ya busara na ya tumain yaliyojawa na ushindi sana. Tusio na marefaree tumtegemee Mungu tu.
Tuko pamoja kiongozi.
Please mwenye updates za tpdc fani ya procurement mbona imechukua muda mrefu??
thanx GOD nimo tenaaaaa
website ya TPDC haifunguki kwa sasa sijui ni laptop yangu au ndo wanaingiza results zote???
ni kweli mkuu kwa sasa haifunguki sijui kwa nini. ila kuna mda nilifungua nikayaona yote mpaka ya tar 10 yamewekwa.
ulijaribu kudownload document utupie hapa tuyaone.....maana tumbo joto...
sijaweza mkuu, natumia simu