New incubator(Kiben 10)

pozzyfaza

JF-Expert Member
Joined
Mar 20, 2012
Posts
1,453
Reaction score
268
Habari mtanzania karibu ujipatie majishe ya kuangulia vifaranga tunazounda wenyewe mashine hii inaitwa kiben 10
Inabeba maya 1800 ikiwa na umbo dogo na mwonekano mzuri na ufanisi wa uhakika
Mashine hii tunaiunda kwa sh. Mil. 1.7
Ikiwa na warranty wa miezi 6
Popote ulipo tanzania huduma yetu inakufikia

Karibu kwa huduma bora

Tunapatikana dar es salaam tabata kimanga 0765870930

You tube. Incubator tanzania

Sent using Jamii Forums mobile app
 
in
Inatumia nini. Umeme , mafuta ya taa.???????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…