New Habari mambo si shwari mshahara bado!

New Habari mambo si shwari mshahara bado!

Mbali na gharama za uchapishaji kupanda ukweli ni kwamba magazeti ya New habari Corp. hayauziki na hilo wanalijua mdio maana hata sasa Gazeti la The African limeanza kutolewa mara moja kwa wiki badala ya mara sita. Rai ndio kabisaaaa. Ni dhairi kwamba umma umeyakataa magazeti ya New Habari Corp. kutokana na historia ya mwekezaji mkuu katika kampuni hiyo. Hiyo ndio nguvu ya Umma.

Ni kweli, unapoandika habari ili kupindisha ukweli kwa manufaa ya mwenye mali matokeo yake ni kuharibu biashara. Naamini magazeti yote yenye mwelekeo kama wa New Habari Corp. yatafunga biashara sooner than later.
 
suala la kutopokea mshahara paka muda huu,kuna waajiri wengine mpaka ufike tarehe arobaini na tano.Nawashauri wafanyakazi wa New Habari mchukue hatua za kisheria,ambazo ni very simple kwa sheria ya sasa.
 
suala la kutopokea mshahara paka muda huu,kuna waajiri wengine mpaka ufike tarehe arobaini na tano.Nawashauri wafanyakazi wa New Habari mchukue hatua za kisheria,ambazo ni very simple kwa sheria ya sasa.


WAO NI MABINGWA WA KUANDIKA YA WENZAO NAO WATOE FRONT STORY KWAMBA HATUJALIPWA MSHAHARA TUNAKUFA...... Then Balile aweke mbwembwe zake hapo😕 (ataweza?)
 
suala la kutopokea mshahara paka muda huu,kuna waajiri wengine mpaka ufike tarehe arobaini na tano.Nawashauri wafanyakazi wa New Habari mchukue hatua za kisheria,ambazo ni very simple kwa sheria ya sasa.


Sheria mbali kote huko, Waitishe Kunji kumshurutuisha RA aje kutoka bungeni?
 
Poleni... Je ni haya magazeti yaliyo nunuliwa na Rostam Aziz toka kwa Jenerali Ulimwengu naomba kuuliza???
 
Umemsahau na Hussein Bashe!

Nae hajalipwa mshahara pia sababu ni mwajiriwa new habari.

RA ASILAUMIWE SANA TATIZO NASIKIA NI UONGOZI HAWAMWAMBII UKWELI WAO HUMWAMBIA MAMBO SHWARI NA HATA KUAMBIWA MSHAHARA TAYARI

RA WAKE UP!
 
Kama wanataka kuuza Gazeti,basi watangaze azma yangu ya kugombea Urais,niliyoaandika hapa JF. Labda mauzo yao yataongezeka siku moja. Kwa sababu unaona jinsi Rais Kikwete alivyokuwa Rais,kiwango cha kufaulu mitihani kidato cha nne kimeshuka mwaka huu. Hiyo ni sababu nyingine kwamba Jakaya Kikwete hastahili kuchaguliwa kipindi cha pili..
Kulikuwa na kura ya maoni jana ya ITV kama miaka 33 ya CCM ,kama kazi waliyofanya ni nzuri. Asilimia 82 wamesema ''Hapana'' Sababu nyingine ya kutocmhagua Jakaya Kikwete.
Ina maana Kikwete akigombea Urais tena,,ama ataokoa maisha ,ama ,atapoteza maisha. Kwa sababu watu watakuwa wanamtegemea yeye kama Rais,na asipoongoza vizuri,atapoteza roho za watu.
 
hawa jamaa mshahara bado kueleweka kwa mijubu wa taarifa za leo asubuhi na utawala umekaa kimya. Ni hali ya hatari kwa maisha ya watu ukuzingatia hiki ni chombo cha habari kilitakiwa kuonyesha mfano. Wasiwe tu wepesi wa kuandika mabaya ya wenzao yakiwakuta nao waweke hazarani.
 
hawa jamaa mshahara bado kueleweka kwa mijubu wa taarifa za leo asubuhi na utawala umekaa kimya. Ni hali ya hatari kwa maisha ya watu ukuzingatia hiki ni chombo cha habari kilitakiwa kuonyesha mfano. Wasiwe tu wepesi wa kuandika mabaya ya wenzao yakiwakuta nao waweke hazarani.


Poleni waungwana. Na kama leo hakuna dalili it means ikifika monday wanakatiza mwezi hivyo tarehe 45.

Mzee RA mambo Bungeni si yameisha fresh, awacheki washkaji basi au ndio kawasusa jumla
 
Hivi lile fagio nililosikia limepita limeshaisha? Nimeambiwa lilimkumba na mdau mwenzetu wa Liverpool, Deo Ruta. You will never walk alone Deo.
 
Hivi lile fagio nililosikia limepita limeshaisha? Nimeambiwa lilimkumba na mdau mwenzetu wa Liverpool, Deo Ruta. You will never walk alone Deo.


Limeisha kama si kusimamishwa sababu ya msingi hakuna hela ya kuwalipa wanaotimuliwa.
 
Back
Top Bottom