Camp Lehigh
JF-Expert Member
- Nov 20, 2018
- 335
- 612
- Thread starter
-
- #21
Utaweza kuingiza hiyo mill 1 kutokana na jinsi ambavyo umeshajenga brand yako pia information ya hiyo bussines..Naomba kuuliza swali.
Kwa mtaji wa milioni tatu ninaweza kufanya biashara gani ya kunipa faida ya kuanzia milioni moja kwa mwezi?
Hapo iwe running costs zimeshatolewa na mtaji bado upo.
simjui wala sijamsikia, ndio nani??Dadii unamjua au ushamskia???
Kasie Matata Dadii.
Kazi ipi???Chapa kaziiiiiiiiiiiiiiiiiii!
simjui wala sijamsikia, ndio nani??
Je wamjua Mortdecai ni nani?
Shukrani.Utaweza kuingiza hiyo mill 1 kutokana na jinsi ambavyo umeshajenga brand yako pia information ya hiyo bussines..
Je wajua biashara za door to door bussines? Forex? Online marketing? chagua moja kati ya hivyo vitu kisha fanya
Namm naomba hilo jukumuDadiii ni Dadii yake Kasinde Kasie na yeye ndo anajukumu la kumbeba Kasie.
Namm naomba hilo jukumu
je,vipi unayo MARINDA?Habarii,
Mimi ni member mpya humu jf kwa muda kidogo nimekua mfuatiliaji wa hili jukwaa sasa nimeona nami nijiunge ili niweze kushea na wenzangu yale niliyonayo.
Details
Sex: Male
Location: Milk way Galaxy
Interested in: Linguistic,Programming,Science & gadget, Movies & Music, History, Religious issues,reading and writting.
Natoa nafasi kuulizwa swali lolote.. utajibiwa kiufasaha kama ulivyouliza..
De nada, Gracias!
View attachment 946087
https://www.google.com/url?sa=t&rct...e/tt3045616/&usg=AOvVaw08PFDzc2DIgYujGScjgz-M
Mortdecai
yako yametimia???je,vipi unayo MARINDA?
wafahamu mm nina umri gani?? naweza kua mzee wakoSijajua umri wako ila uwe mpole tuu, ngoja ngioja kwanza ukue walau unizidi umri ndo Dadii anaweza kukufikiria kama mmoja wa kumuachia majukumu ya kumlinda Kasie yeye akiwa safarini.
wewe c umesema tukuulize maswali yoyote?yako yametimia???
Ok yametimia mkuuwewe c umesema tukuulize maswali yoyote?
kama huna marinda jf huruhusiw kufungua
Vyovyote vile ila mm ni new member.....Hakuna mgeni hapa mgeni kachangamka kusema Tasi kawekwa ndimu, sijui nikukaribishe wapi maana nastuka upo uvunguni mwa kitanda ila haya karibu mgeni
Karibu sanaVyovyote vile ila mm ni new member.....
wafahamu mm nina umri gani?? naweza kua mzee wako
MarahabaSawa Mzee, heshima yako...