Camp Lehigh
JF-Expert Member
- Nov 20, 2018
- 335
- 612
- Thread starter
- #21
Utaweza kuingiza hiyo mill 1 kutokana na jinsi ambavyo umeshajenga brand yako pia information ya hiyo bussines..Naomba kuuliza swali.
Kwa mtaji wa milioni tatu ninaweza kufanya biashara gani ya kunipa faida ya kuanzia milioni moja kwa mwezi?
Hapo iwe running costs zimeshatolewa na mtaji bado upo.
Je wajua biashara za door to door bussines? Forex? Online marketing? chagua moja kati ya hivyo vitu kisha fanya