New Great thinker , May I come ini............?

Naomba kuuliza swali.

Kwa mtaji wa milioni tatu ninaweza kufanya biashara gani ya kunipa faida ya kuanzia milioni moja kwa mwezi?

Hapo iwe running costs zimeshatolewa na mtaji bado upo.
Utaweza kuingiza hiyo mill 1 kutokana na jinsi ambavyo umeshajenga brand yako pia information ya hiyo bussines..
Je wajua biashara za door to door bussines? Forex? Online marketing? chagua moja kati ya hivyo vitu kisha fanya
 
Utaweza kuingiza hiyo mill 1 kutokana na jinsi ambavyo umeshajenga brand yako pia information ya hiyo bussines..
Je wajua biashara za door to door bussines? Forex? Online marketing? chagua moja kati ya hivyo vitu kisha fanya
Shukrani.

Ila sina elimu juu ya kila ulichoandika pia elimu yangu siyo kubwa sana. Naomba unisaidie wazo la kitu tangible zaidi ya hivi ulivyoviainisha.
 
Namm naomba hilo jukumu

Sijajua umri wako ila uwe mpole tuu, ngoja ngioja kwanza ukue walau unizidi umri ndo Dadii anaweza kukufikiria kama mmoja wa kumuachia majukumu ya kumlinda Kasie yeye akiwa safarini.
 
Habarii,
Mimi ni member mpya humu jf kwa muda kidogo nimekua mfuatiliaji wa hili jukwaa sasa nimeona nami nijiunge ili niweze kushea na wenzangu yale niliyonayo.

Details
Sex: Male
Location: Milk way Galaxy
Interested in: Linguistic,Programming,Science & gadget, Movies & Music, History, Religious issues,reading and writting.
Natoa nafasi kuulizwa swali lolote.. utajibiwa kiufasaha kama ulivyouliza..

De nada, Gracias!
View attachment 946087
https://www.google.com/url?sa=t&rct...e/tt3045616/&usg=AOvVaw08PFDzc2DIgYujGScjgz-M
Mortdecai
je,vipi unayo MARINDA?
 
Sijajua umri wako ila uwe mpole tuu, ngoja ngioja kwanza ukue walau unizidi umri ndo Dadii anaweza kukufikiria kama mmoja wa kumuachia majukumu ya kumlinda Kasie yeye akiwa safarini.
wafahamu mm nina umri gani?? naweza kua mzee wako
 
Hakuna mgeni hapa mgeni kachangamka kusema Tasi kawekwa ndimu, sijui nikukaribishe wapi maana nastuka upo uvunguni mwa kitanda ila haya karibu mgeni
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom