mcomunisti halisi
Senior Member
- Jan 17, 2017
- 103
- 328
Mugabe si alikuwa anafoka UN ,alitoa speech Kali kuhusu kifo cha MuammarAcheni mzaha! Ajenda za Gaddafi ni zile zile za OIC. Mugabe katupa picha juzi.
Mugabe pia sini alirevive ishu hiyo kwenye mkutano wa AU lakini likatupiliwa mbali juzi tu hapo
Na yeye Mugabe alikuwa ana ajenda gani eti
[HASHTAG]#Tusiwe[/HASHTAG] wasahaulifu jamani