Tanganyika one
Member
- Oct 2, 2012
- 18
- 8
Hongera kwaku comment, hata hivyo wafer kama uviitavyo wewe vina fanana kwa ukaribu na (DESELER) bites hizi mpya ninazo tangaza kwa mfano mchanga nyiko na mwonekano kidogo ila sifa kubwa ya deseler mbali na mashine rahisi na adimu in ayo tengeneza hua zina dumu kwa muda mrefu na zina ladha ya kipekee ni kama cake yenye sifa za biscuts.
kwa wafanya biashara wadogo wadogo , wanao husika na vyakula mbali mbali ,na kwa matumizi ya nyumbani, tuna watangazia BITES au vitafunwa vipya jijini DAR ES SALAAM , asili yake ni nchi ya france,hutumika muda wowote ule uhitajipo, unaweza kuagiza kiasi chochote uhitajicho na kuletewa pale ulipo zina uwezo wa kukaaa siku 45 bila kuharibika .wasiliana nao kupitia number +255 658 030 604.