never under estimate...the power of women.......

never under estimate...the power of women.......

Mi mzima naona unacheza na maneno km kawaida yako

^^
Ha ha haa
Wapii! Si unajua maneno faraja,
Maneno yataka rangi,
Yatakwa kupambwa ili yalete thamani ya maisha, tena yavute kama avatar yako hapo mm!
^^
 
^^
Ha ha haa
Wapii! Si unajua maneno faraja,
Maneno yataka rangi,
Yatakwa kupambwa ili yalete thamani ya maisha, tena yavute kama avatar yako hapo mm!
^^

Haswa maneno yataka rangi na nyie mnajua kuyapaka
kiasi amabcho ukianza kushusha verse sichomoi mwisho wa siku naingia line mwenyewe....
Hata mfalme Suleiman alijua hilo, akasema;
Maneno yenye kupendeza ni kama sega la asali, ni matamu kwa nafsi na maponyo mifupani
 
acheni kunisanifu na vingereza vyenu sadifu,,,,,:angry:
 
Back
Top Bottom