Yaani haya madude sijui ni mashikoro si TZ wala KE maana nami niko na link na mtu wa kenya remote access kuna kitu twakifanya mzeee net iko ups & down al the time. sasa nadhani kama sio vitendea kazi duni vya SCom hapa kwa nchi zetu huku tutaishia kusema ni UK na kwingineko. Je tujiurize kwetu hapa TZ SCOM inafikaje DODOMA, ARUSHA, MWANZA, MBEYA na kwingineko au ndio watatumia ile Fiber Optic cable ya TANESCO ya miaka mingii??