NETANYAHU's speech on Africans and Arabs

Anaitwa nani? Maana kama tayari hotuba hii inaonekana ya Netanyahu, na wewe unajua kwa uhakika kabisa kuwa ni ya mtu mwingine, ni vema kumtaja mtu huyo ili kuondoa mkanganyilo
 
Kwakweli inauma sana lakini kuna ukweli fulani hivi!!
 
Amesema ukweli mtupu, tuangalie wapi tunakosea na tujirekebishe, kweli tuombe yesu na mtume warudi tena kuja kutuokoa
Tatizo hawa nao ni wa huko huko you never know watakuja na msimamo wa kutuokoa au kutukandamiza!
 

wewe ni nana hadi uombe uzi wenye ukweli kama huu ufutwe? sidhani kama kila mtu akiguswa na uzi wa mwingine aombe uzi husika kufutwa kama jukwaa hili lisingebaki na uzi hata mmoja.

swala la dini weka pembeni tuudiscuss ujumbe ulioko mezani juu ya africa
 
Tuna fail coz hatujiamin na tunajidharau

Uwezo tunao tukiwa na.nia

Mpuuz huyo kusema sisi tunafanana tu binadamu ila.sio binadamu

Duuh
Dharau kubwa,ila nahisi sio yy n mwafrika mwenzetu katunga tuu
 
Kuufuta ujinga wa Mwafrika ni kazi kweli kweli.

I mean, katika karne ya 21 ambapo information zipo one click away lakini kuna majuha yanayoamini uzushi kama huu.

Shameful.
 
Anaitwa nani? Maana kama tayari hotuba hii inaonekana ya Netanyahu, na wewe unajua kwa uhakika kabisa kuwa ni ya mtu mwingine, ni vema kumtaja mtu huyo ili kuondoa mkanganyilo


Hii hotuba ni ya Peter Wiliam Botha.
Aliyekua rais wa Afrika kusini wakati wa ubaguzi wa Rangi.
Aliitoa mwaka 1985 mbele ya baraza lake la Mawaziri.

Walioibadilisha na kuiita kuwa ni hotuba ya Netanyahu walikua ni magaidi wa vikundi vya al kaida kwa lengo la kuongeza neno na waarabu ili kupandisha hasira waafrika na waarabu ili wamtenge Netanyahu na Israel.
 
Kama ni Kweli ameyasema hayo maswali ni mengi sana? Kwa nini Israeli iliwakubali Falasha Jews yaani Wayahudi weusi? Kwa nini wanafungua balozi zao Katika nchi za Kiafrika? Mwambieni huyo Bwana hao weusi anaowatukana atawaheshimu siku moja.
 
Anaitwa nani? Maana kama tayari hotuba hii inaonekana ya Netanyahu, na wewe unajua kwa uhakika kabisa kuwa ni ya mtu mwingine, ni vema kumtaja mtu huyo ili kuondoa mkanganyilo

Mkuu anaitwa Botha.
 
Uzushi mtupu.

Halafu kuna mapumbavu yanaouamini.

Kweli adui ujinga bado hatujamshinda kabisa.

Hapa ni kwa the so called great thinkers, ndio wanaamini upuuzi kama huu. Sijui itakuwaje kwa watu wa Matombo?
Inasikitisha sana.
 
Anaitwa nani? Maana kama tayari hotuba hii inaonekana ya Netanyahu, na wewe unajua kwa uhakika kabisa kuwa ni ya mtu mwingine, ni vema kumtaja mtu huyo ili kuondoa mkanganyilo
Huu ni uzushi bhana! ilisha jadiliwa tena hapa
 
Na ameongezea pale kwenye maneno ya Trump kwamba tunahitaji kutawaliwa tena.

Ni wapi na lini Trump alisema Waafrika wanahitaji kutawaliwa tena?

Don't be so gullible, usiamini amini kila kitu unachosikia, jiulizwe kimesemwa wapi, lini?

Netanyahu na Trump, viongozi wa US na Israel, hawawezi kuwa openly racist kihivyo, hivi mnaishi kwenye mashimo ya wapi huko ambako radio waves za news za dunia zinafika zimepinda?
 

Una swali jingine.
Au nipe mstari unaosimamia wewe
 
Siku zote ukweli unauma,,nahisi maumivu makali sana,naiona siku ya leo ya maumivu kwa nn,!? Sababu mengi ni kweli,kweli tupu
 
hii hutuba sio ya netanyau,hana muda mchafu wa kuandaa hotuba kama hii,kama wewe ulivyokuwa na muda mchafu wa kutafsri hii hotuba kutoka international forum, halafu imejaa ukweli mtupu .hii hotuba ni ya botha kaburu la afrika kusini
Nashangaa watu walivyowepesi kuamini mambo ya kizushi bila kushirikisha ubongo.
Kingine nashangaa thread za uongo kama hizi kupewa uhai kiasi hiki.
 
Hahahahah safi sana mko wapi wapenda Israel njooni huku
 
ni maneno ya kibaguzi sana
Mkuu, umeyaamini? Muulize mleta mada akwambie hii hotuba aliitolea wapi?
Hakuna Kiongozi yoyote anayeweza kutumia haya maneno, hata hawe mbaguzi kiasi gani hasa kwa ulimwengu wa sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…