Ishmael
JF-Expert Member
- Oct 18, 2011
- 15,039
- 6,018
- Thread starter
- #21
Naona unajisahaulisha swali langu. Usifikiri nimesahau
WAISLAM, NITAJIENI JINA LA NCHI TAKATIFU YA WAISRAEL AMBAYO ALLAH ALIWAPA
Surat Al Maida 20. Na pale Musa alipo waambia watu wake: Enyi watu wangu! Kumbukeni neema za Mwenyezi Mungu zilizo juu yenu, alipo wateuwa Manabii kati yenu, na akakufanyeni watawala, na akakupeni ambayo hakuwapa wowote katika walimwengu. 21. Enyi watu wangu! Ingieni katika nchi takatifu ambayo Mwenyezi Mungu amekuandikieni. Wala msirudi nyuma, msije mkawa wenye kukhasirika.
Last edited by a moderator: