chapaa JF-Expert Member Feb 19, 2008 2,351 204 Jun 28, 2011 #21 Husninyo acha uongo inamaana ukipewa unatia mfukoni? ukitaka kuitumia ndo inakuwaje? Husninyo said: hela ya kupewa haiesabiwi. Click to expand...
Husninyo acha uongo inamaana ukipewa unatia mfukoni? ukitaka kuitumia ndo inakuwaje? Husninyo said: hela ya kupewa haiesabiwi. Click to expand...
Husninyo JF-Expert Member Oct 24, 2010 23,723 9,193 Jun 28, 2011 #22 chapaa said: Husninyo acha uongo inamaana ukipewa unatia mfukoni?ukitaka kuitumia ndo inakuwaje? Click to expand... hahahaha! Sasa wewe nimekupa hela za bure bure unahesabu kwani ulikuwa unanidai?
chapaa said: Husninyo acha uongo inamaana ukipewa unatia mfukoni?ukitaka kuitumia ndo inakuwaje? Click to expand... hahahaha! Sasa wewe nimekupa hela za bure bure unahesabu kwani ulikuwa unanidai?