Neno moja nililopewa na Mkongo baada ya kunipa vumbi Kasongo aka vumbi

Ng'wanapagi

JF-Expert Member
Sep 18, 2013
9,116
8,652
Gold digger ndilo jina maarafu South Africa kwa vijana wanao date na wanawake waliowazidi umri, hivi karibu jina limebadirika na sasa wanaitwa /tunaitwa Ben 10!!. Kuna siku katika mishe mishe zangu nilikutana na Mkongo anayefahamu kiswahili kile chenye rafudhi ya Kikongo, huyu ni pusha maarufu wa dawa ya kurefusha muda wa kufikia kilele kwa mwanaume (men's delay medicine) maarufu kwa jina la Kasongo au vumbi. Baada ya kunipatia hilo vumbi na matumizi yake basi alinipa wosia mmoja ambao nikiukumbuka huwa nacheka tu na kujisemea "kweli wazamiaji tuna vituko " aliniambia....... Elengi Papa, unikumbuke papa kama utapewa zawadi ya gari na Cheri yako
 
Gold digger ndilo jina maarafu South Africa kwa vijana wanao date na wanawake waliowazidi umri, hivi karibu jina limebadirika na sasa wanaitwa /tunaitwa Ben 10!!. Kuna siku katika mishe mishe zangu nilikutana na Mkongo anayefahamu kiswahili kile chenye rafudhi ya Kikongo, huyu ni pusha maarufu wa dawa ya kurefusha muda wa kufikia kilele kwa mwanaume (men's delay medicine) maarufu kwa jina la Kasongo au vumbi. Baada ya kunipatia hilo vumbi na matumizi yake basi alinipa wosia mmoja ambao nikiukumbuka huwa nacheka tu na kujisemea "kweli wazamiaji tuna vituko " aliniambia....... Elengi Papa, unikumbuke papa kama utapewa zawadi ya gari na Cheri yako
Una matatizo ya nguvu za kiume?
 
Gold digger ndilo jina maarafu South Africa kwa vijana wanao date na wanawake waliowazidi umri, hivi karibu jina limebadirika na sasa wanaitwa /tunaitwa Ben 10!!. Kuna siku katika mishe mishe zangu nilikutana na Mkongo anayefahamu kiswahili kile chenye rafudhi ya Kikongo, huyu ni pusha maarufu wa dawa ya kurefusha muda wa kufikia kilele kwa mwanaume (men's delay medicine) maarufu kwa jina la Kasongo au vumbi. Baada ya kunipatia hilo vumbi na matumizi yake basi alinipa wosia mmoja ambao nikiukumbuka huwa nacheka tu na kujisemea "kweli wazamiaji tuna vituko " aliniambia....... Elengi Papa, unikumbuke papa kama utapewa zawadi ya gari na Cheri yako
South uko Mji gani Mkuu? Mm nipo Johannesburg
 
Nilinunua hilo vumbi kwa madereva wa Taqwa kuna mama mtu mzima mmoja nilimpakia tukatoka Dar nikaenda kushughurika nae Morogoro najuta basi kila Mara anataka tena na vumbi limeisha kila wiki lazima amtume Dereva wake dollar 100 ya kuniwekea mafuta ndio nahangaika vumbi lije hawezi kunielewa bila vumbi anasema hajawahi toka aijue Dunia
 
Nilinunua hilo vumbi kwa madereva wa Taqwa kuna mama mtu mzima mmoja nilimpakia tukatoka Dar nikaenda kushughurika nae Morogoro najuta basi kila Mara anataka tena na vumbi limeisha kila wiki lazima amtume Dereva wake dollar 100 ya kuniwekea mafuta ndio nahangaika vumbi lije hawezi kunielewa bila vumbi anasema hajawahi toka aijue Dunia
Poa poa Ben 10
 
IMG_20170421_111256.jpg


Huku Tz kuna hiyo, wanaiita mundende
 
Nilinunua hilo vumbi kwa madereva wa Taqwa kuna mama mtu mzima mmoja nilimpakia tukatoka Dar nikaenda kushughurika nae Morogoro najuta basi kila Mara anataka tena na vumbi limeisha kila wiki lazima amtume Dereva wake dollar 100 ya kuniwekea mafuta ndio nahangaika vumbi lije hawezi kunielewa bila vumbi anasema hajawahi toka aijue Dunia
.....mkuu mwambie tu ukweli unasubiri vumbi kama hakukuelewa kiutu uzima akikuuliza zuga upo sehemu yenye vumbi na upepo mwingi sana so ukiendesha gari hata mbele huoni hivyo angoje ngoje kidogo.
 
Back
Top Bottom