Midazolam
JF-Expert Member
- Aug 15, 2020
- 806
- 1,337
Amani ikae na watanzania wote.
Mtu wa Mungu ana hekima, mtu wa Mungu ni mpole, Mtu wa Mungu anapenda amani, mtu wa Mungu ana upendo na Kikubwa Mtu wa Mungu, hana maneno machafu kwa watu wake, mtu wa Mungu ni mpatanishi, anapendwa na kufuatwa kwa mazuri yake
Pia mtu wa Mungu hana upendeleo kwa watu fulani, hugawa sawa sawa kwa pande zote na Mtu wa Mungu anampenda hata adui yake.
Kwa maisha ya kawaida na la kiroho zaidi,maisha ya Tundu lisu ni ushuhuda wa kweli na huponya kwa wanaoamini matendo makuu ya Bwana Mungu wetu.
Lisu alipopigwa risasi kwa akili ya wanadamu ni vigumu kujua Kama mpaka leo hii huyu jamaa anatembea na kushukuru kwa mabaya yaliompata.
Waaumini tunasema kama Mungu anakupenda hakuna wa kukutoa uhai, vita ni vya Mungu achana Mungu apigane nao
Ni vizuri umuombee adui yako ili unapofanikiwa adui yako ajionee kwa macho,
Mungu alituumba kwa mfano wake na nafsi zetu zina huruma, na ndio maana unapofanya jambo baya lazima nafsi itakusuta tu.
Ukweli ni kwamba waliomshambulia lisu hawana amani ya moyo na hii itawatesa mpaka siku ya kufa kwao labda tu wajitokeze na kusema na kuomba msamahaa,msamahaa una nguvu sana na Mungu anasamehe kwa mwenye uhitaji wa msamahaa
Dhambi unayotenda leo usije ukasahau halitakuacha litakutafuna na mpaka na kizazi chako,kimbilio lake ni kutubu tu.
Watumishi wa Mungu ni watu wenye mamlaka makubwa sana mbele zake Mungu, usije ukapuuuza neno analotoa mtumishi wa Mungu. Waumini wanaelewa ninachomaanisha .
Natabiri kwa yoyote atakayepindisha matokeo ya uchaguzi, Mungu atalipa kwa muda mchache sana na watanzania mtaona huu utabiri. Naona kama kifo kwa mtu atakayefanya hivyo,
Mungu ana nguvu sana.
Tanzania utabiri unaenda kutimia.
Mtu wa Mungu ana hekima, mtu wa Mungu ni mpole, Mtu wa Mungu anapenda amani, mtu wa Mungu ana upendo na Kikubwa Mtu wa Mungu, hana maneno machafu kwa watu wake, mtu wa Mungu ni mpatanishi, anapendwa na kufuatwa kwa mazuri yake
Pia mtu wa Mungu hana upendeleo kwa watu fulani, hugawa sawa sawa kwa pande zote na Mtu wa Mungu anampenda hata adui yake.
Kwa maisha ya kawaida na la kiroho zaidi,maisha ya Tundu lisu ni ushuhuda wa kweli na huponya kwa wanaoamini matendo makuu ya Bwana Mungu wetu.
Lisu alipopigwa risasi kwa akili ya wanadamu ni vigumu kujua Kama mpaka leo hii huyu jamaa anatembea na kushukuru kwa mabaya yaliompata.
Waaumini tunasema kama Mungu anakupenda hakuna wa kukutoa uhai, vita ni vya Mungu achana Mungu apigane nao
Ni vizuri umuombee adui yako ili unapofanikiwa adui yako ajionee kwa macho,
Mungu alituumba kwa mfano wake na nafsi zetu zina huruma, na ndio maana unapofanya jambo baya lazima nafsi itakusuta tu.
Ukweli ni kwamba waliomshambulia lisu hawana amani ya moyo na hii itawatesa mpaka siku ya kufa kwao labda tu wajitokeze na kusema na kuomba msamahaa,msamahaa una nguvu sana na Mungu anasamehe kwa mwenye uhitaji wa msamahaa
Dhambi unayotenda leo usije ukasahau halitakuacha litakutafuna na mpaka na kizazi chako,kimbilio lake ni kutubu tu.
Watumishi wa Mungu ni watu wenye mamlaka makubwa sana mbele zake Mungu, usije ukapuuuza neno analotoa mtumishi wa Mungu. Waumini wanaelewa ninachomaanisha .
Natabiri kwa yoyote atakayepindisha matokeo ya uchaguzi, Mungu atalipa kwa muda mchache sana na watanzania mtaona huu utabiri. Naona kama kifo kwa mtu atakayefanya hivyo,
Mungu ana nguvu sana.
Tanzania utabiri unaenda kutimia.