ila vita ikipiganwa vyema huwa ni epusho kubwa sana la vita za kizembe ambazo pia huwa na muaji mabaya zaidi.Vita ikipigwa kwa ufanisi na nguvu zote hisha haraka sana.
Nakumbuka nami shule enzi hizo pia nilikuwa nikimaliza ngumi bila kupigana sana,na pengine ningepigana ningeweza uwawa na heshima kubaki.Som eof those guys hata tkiwa nao huwa hamaniamini sana kuwa nimezeeka.Kwani siku zote walikuwa wakipata result za kuwachanganya.Huwa mimi by nature sipendi kupigana, wala distructions,but huwezi amini kuna watu huwa hawapati amani na furaha bila tishia watu wanaowazunguka, na hawa watu huwa wakipata mafunzo kidogo ya kupigana au hata wakiingia gymn siku ya kwanza basi tayari hutembea vifua mbele.Huwa hawa mimi nilikuwamajiepusha nao sana ila baadaye nikaja gundua kuwa kujiepusha wao hutafsiri kuwa nimekuwa mwoga na hivyo wajisikiavyo huwa wanafanya wapendacho, na ukiuliza au hata kujitoa huwa wanaona kuwa hiyo ni revolt na hivyo kutaka toa adhabu ya mfano ili watumwa wengine wasiige.Hii ni Human nature.Ndugu yangu nisikuambie, nilikuwa nafanya mazoezi ya kupeleka mikono mizito kuliko miwli wangu , na hata kama natumia mawe nilikuwa nayapeleka kama mvua mpaka adui atokomee,kama akibaki mimi nikuwa natandik tandika bila break. Mjengwa huwezi amini sikubahatika mpiga mtu ngumi zaidi ya tatu, bila kunikimbia, piga magoti au hata kupoteza fahamu.Wote kati yao sikuwahi pata nao shida, na mara zote jukumu likawa kwangu kutoingia katika taabu nao,kwani wao hawakuwa tena na imani nami kwa uhai wao.Wadogo zangu wote wenye miili mikubwa na walioamini kuwa kipindi kimefika cha kuonyesha ubavu katik familia hadi kwa wazee, huwa wanalijua hilo.Huwa dogo huwa hata kama naumwa huwa wananiangalia kwa jicho kuwa huyu jamaa hakuna mwamini akiwa hai.Same goes kwa level ya nchi,kabila, na tamaduni nyingi.Na kichapo huwa hakipotei mbele ya uzao wao,kwa hiyo ni sisi tuu baadaye tusiwe na sifa za kuchokoza wenzetu.Tuna washezi wengi wametuzunguka wantamani sana wapate njia ya kwenda baharini.
Malawi hapa bado hawataishia hapo, sana sana usalama utategemea busara ya kiongozi aliyepo na uweo wao kiuchumi na kivita, pengine na ustawi wetu.Tukiingia katika vita vya ndani kama Rwanda kuna uwezekano wakajikatia kipande.Sadam alsihajenga mzinga Kuwait na Ghaddafi kwa kuwa na ushawishi kwa maitaifa ya africa na kufadhili vikundi vya kigaidi na huku akijifich achini ya wapalestina huku akiona hakuna alichofanyiwa kimabavu.Walifika mahali wakadhani na hata kuaminisha watu katika dunia kuwa jamaa wana ubavu sana hata mbee ya jumuia za kimataifa.Jamaa walisahahu kuwa kama mataifa ya magharibu yangekuwa na uhuru na nia ya kwenda kuua kama kufanya uvuvi na dunia ikaona poa.Kuna watu wangekuwa wamefutwa kwa silaha kali na mataifa korofi kama jamii ya kimataifa haikuwa na mitizamo ya kuchukia maangamizi.
Malawi anahitaji kuchapwa,kuchapwa sana na mwishowe tuweke mamluki wetu kuongoza nchi , nchi yao itatulia sana na kila wakumbukapo hiyo halia huamua kwenda lima au kufanya kazi.Hakuna amani kama adui ana doubt na uwezo wako, halafu akawa ameamua amani na furaha yake ni kukunyanyasa.Hawa jamaa na uamsikini wao wa roho na mwili wanapewa moyo na watenda matukio mabaya ndnai ya nchi yao,kiasi cha kudhani kuwa wanaweza vuka mipaka.Sasa wameanza na TZ kwa vile nadhani hawajaona askari wetu wakiruka mipaka yao na kufanya uahalifu.Ila hawa watu ni waoga kweli kweli, kuwatisha hakutoshi kwani watapata tena ujasiri,ila kuwatega na kuwachapa kutamaliza kabisa mashaka na kubeep kutaisha.