Nenda mpenzi wangu

ha ha ha.... siku hizi huwa nacheka tu ninapoona mambo kama haya... umepata uzoefu hutaumia tena
 
Hahaha daddy angu silent killer mwenyewe. Kwa huyo hujawahi kuumia kabisa?

Teh teh..Douta mi Sio silent killer..Btw sijasema kuumia..Nimesema kuteseka..Maumivu ya masaa kadhaa yanaweza kuwepo..
 
Pole sana. Kwani bado hujaoa? Kama umeshaoa elekeza mapenzi kwa mkeo mengine achana nayo. Ukiendelea kumuweka moyoni mkeo atakosa nafasi na utamchukia bila sababu!


 
Kwa kifupi wewe kubali tu kuisoma number,maana hakuna namna tena.
 
Kiroho safi muache aolewe utampata na wewe wako umuoe maana kila jambo linatokea mie huwa naamini ni mipango ya Mungu

Ina maana ile mechi ya TANZANIA 2 ALGERIA 2, nayo ni mipango ya Mungu!
 

Duuuuh kweli ww kubwa jinga
 
Big up! Kwa heading nzuri ya thread, hii yawezeza mvuta great thinker yeyoke kama Pasco, Mchambuzi, Nguruvi3 na mmm mwanakijiji,

uchungu wa mapenzi, kuumizwa..., ni zaidi ya kupigwa nyundo kwenye korodani! Yalinitokea, sipendi na sitaki tena!
 
Last edited by a moderator:
Tafuta pesa tu. Hiyo ndo dawa pekee. Mengineyo ni ziada
 
Teh teh..Douta mi Sio silent killer..Btw sijasema kuumia..Nimesema kuteseka..Maumivu ya masaa kadhaa yanaweza kuwepo..
Aah hapo nimekuelewa, kujitesa hapana kwa kweli na Mungu atuepushie mbali
 
Pole ndo mapnz....tulia utafute atayefuta machozi moyoni mwako
 
Wakati nalainisha moyo kupenda sio kama ninakosea
ipo sababu ya mimi kurejesha namba ambayo ilipotea
hali ya mtoto kumsusa mama akishachapwa
ni sawa na mapenzi
ukishapendwa
unasahau hata kama ulishafanyiwaga ushenzi
nakumbuka nilijuta sana kupenda kupenda kusikokua
na thamani
ila hitaji la moyo lalazimisha kurudia zamani
 

Nikumbushe jina la wimbo mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…