NEC kugawa upya majimbo ya uchaguzi

NEC kugawa upya majimbo ya uchaguzi

Jimbo la igunga la mheshimiwa Shilole linagawanywa nalo? Senkyuu vere macheeeee

ImageUploadedByJamiiForums1431374548.419937.jpg
 
Lahaula...!
Unagawa majimbo huku hujui hata idadi ya wapiga kura!
Unagawa majimbo miezi minne kabla ya upigaji kura!
Only in Tanzania!
Mkuu taifa linapo bebeshwa gharama ili chama kimalize matatizo yake!, haikubaliki
 
Yaani majimbo yanaongezwa watu wakiongezeka? Kama yanatolewa kwa idadi ya watu, Basi huko China na India yalitakiwa yawe zaidi ya 5000 na Zanzibar kama 4.
 
Hii nchi imebakia kutwangana tu ili kuwepo adabu na kuheshimiana...

Walikuwa wapi kuyafanya haya mapema...!!!
 
Tanzania heshima itakuja sio kwa kusimama kwenye mistari, lazima baadhi waonje mashimo ili heshima ijengwe.
hakuna amani bila haki. Na haki haijawahi kupatikana kwa kubembelezana.
 
Wakiligawa jimbo letu nagombea hongera LUBUVA!!
Asipenda na aache"
 
Inawezekana Jaji LUBUVA akawa KIVUITU wa Tanzania mwaka huu,kama hakuna pesa ni lazima uwe mwenyekiti waTume ya uchaguzi.Mzee tume yako ni mbovu kuliko tume zote zilizowahi kutokea Tanzania
 
mtashangaa kuona majimbo yote yanayo gawanywa ni yale ya kusini pamoja na dodoma,,,
magamba nyie ni janga
 
Ilitakiwa kila wilaya iwe na mbunge mmoja. Wanaongeza wabunge na gharama za kupanua bunge, mashangingi zote wabebe walipa kodi?
 
Yawezekana huu ni mpango wa kuhakikisha lile daftari la wapiga kura lililotumika 2010 lisitumike kabisa ili ngoma ilale hapo Octoba 2015.

Hivi kwa nini wasitumie kile kidaftari cha wapiga kura wa serikali za mitaa kilichotumika mwaka jana?
 
Kuongeza majimbo ni kuongeza gharama. Hii NEC hata hela ya BVR hawajapewa zote serikali kwa nini itumie fedha kwa mambo yasiyo ya lazima? Kwa teknolojia ya sasa ya habari majimbo yanatakiwa yapunguzwe. Lkn ccm ikiongeza tukiingia ikulu kitu cha kwanza ni kuifuta hii tume na kurekebisha katiba na kuunda tume guru.

Mimi huwa nasema na nitaendelea kusema, CCM IS A MENTAL DISEASE.

Mtu yeyote hata awe msomi vipi akishaanza tu kuitumikia CCM, akili zake zote anaziweka kwenye masa.buri!

Judge Lubavu sasa hivi anaitumikia CCM, ndiyo maana amekuwa mji.ga kuliko hata umri wake.
 
Back
Top Bottom