NEC Imeoza

NEC Imeoza

ismailo.nn

Member
Joined
Jun 4, 2012
Posts
5
Reaction score
0
NEC imekosa mwelekeo kwa mambo yafuatayo;
01 kuwepo kwa matatizo ya chaguzi mbalimbali kama jimbo la Arusha mjini na majimbo mengineyo
02 kukosa maamuzi sahihi juu ya kazi wanayopaswa kuifanya. Kutokana na uozo huo hupelekea kuwepo kwa fujo na uvunjifu wa amani wakati na baada ya uchaguzi. Je waungwana nini kifanyike ili haya yasijitokeze
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom