NEC hoi, itaharibu mambo


Leo alfajiri kwenye TBCCM wamejitapa wanaleta BVR 2000*3 kwa kutumia Boeing 747 cargo plane
 

Nakubaliana na wewe NEC ina mapungufu ya kimfumo na kiutendaji lakini kilichochoka; kiko taabani ICU sio NEC; bali ni serikali yenyewe ambayo imeshindwa kuiwezesha NEC kwa wakati na kikamilifu; mpaka Babu Lubuva anahaha huko na kule kwenda kuazima BVR kits?! kumbe wenzao huko alikokwenda; zoezi la kuboresha daftari la wapiga kura ni Continous; sio kama NEC yetu na Firebrigade style yao!!
 
Leo alfajiri kwenye TBCCM wamejitapa wanaleta BVR 2000*3 kwa kutumia Boeing 747 cargo plane

Wameenda kudurufu BVR machine fake ili kutuhadaa wananchi, fedha wamezitoa wapi wakati nchi iko hoi kifedha?
 
Hatauchaguzi mkuu hakutakuwa na cha maana kitakachokuwa kimefanyika
 
Mi nachokiona Lubuva anajiandaa kuwa Sita mwingine, kulazimisha vitu kutokana na matakwa ya watawala! Mi namuasa Jaji Mstaafu akajipumzikie ili hata aki rest in peace iwe kwa heshima yasije yakamkuta ya Komba!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…