Mwiba
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 7,607
- 1,760
AKikazania msimamo huo sijui kama hatafukuzwa kazi.
Kitu kimoja kama jamaa anamsimamo kama wa yule mwanasheria aliefukuzwa sawa ,ila isijekuwa ni kigogo cha mpapai na inawezekana ni zilezile danganya toto ,kuona tuna watu wanaoweza kusimamia yale majukumu yao bila ya kumuogopa au kumuonea haya na aibu mtu yryote.
Kitu kimoja kama jamaa anamsimamo kama wa yule mwanasheria aliefukuzwa sawa ,ila isijekuwa ni kigogo cha mpapai na inawezekana ni zilezile danganya toto ,kuona tuna watu wanaoweza kusimamia yale majukumu yao bila ya kumuogopa au kumuonea haya na aibu mtu yryote.