NEC: CHADEMA inatupa shida

NEC: CHADEMA inatupa shida

Mwanamayu

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2010
Posts
11,701
Reaction score
6,930
Hivi kuombwa ku-present jinsi programu ya kompyuta ya kujumulisha matokeo ya uchaguzi mkuu ni kupewa shida kweli ili kuongeza ushahidi kuwa uchaguzi utakuwa huru na haki? Ni vyema kila chama kikapewa nakala ya programu hiyo na kwenda kui-test na kujionea ufanyaji wake kazi, na ikiwezekana waitumie kujumulisha matokeo yatakayo bandikwa vituoni na baadae kulinganisha na yale yatakayotangazwa na NEC kwa ajili ya more reliability.

Pia kila chama kikiwa na nakala ya programu hiyo itakuwa rahisi kuondoa shaka ya kuwa na version nyingi za programu hiyo kwani ni rahisi kwa version moja kuwa na 'plug-in'/ 'patch' ambayo inaweza kubadili upepo wa matokeo. Lakini kuishia kuonyeshwa programu na kuondoka bila nakala ni rahisi kwa NEC kuonyesha version A na kutumia version B.

Source: Mwananchi Communication Limited (NEC: Chadema inatupa shida - Kitaifa | Mwananchi) and my views (myself).
 
Hivi kuombwa ku-present jinsi programu ya kompyuta ya kujumulisha matokeo ya uchaguzi mkuu ni kupewa shida kweli ili kuongeza ushahidi kuwa uchaguzi utakuwa huru na haki? Ni vyema kila chama kikapewa nakala ya programu hiyo na kwenda kui-test na kujionea ufanyaji wake kazi, na ikiwezekana waitumie kujumulisha matokeo yatakayo bandikwa vituoni na baadae kulinganisha na yale yatakayotangazwa na NEC kwa ajili ya more reliability.

Pia kila chama kikiwa na nakala ya programu hiyo itakuwa rahisi kuondoa shaka ya kuwa na version nyingi za programu hiyo kwani ni rahisi kwa version moja kuwa na 'plug-in'/ 'patch' ambayo inaweza kubadili upepo wa matokeo. Lakini kuishia kuonyeshwa programu na kuondoka bila nakala ni rahisi kwa NEC kuonyesha version A na kutumia version B.

Source: Mwananchi Communication Limited (NEC: Chadema inatupa shida - Kitaifa | Mwananchi) and my views (myself).

chadema fanyeni kazi ya kuomba kura na muiache NEC ifanye kazi yake.

Kama mnaona upepo hauvumi vizuri muwe wawazi tu na sio kupiga kelele na kutafuta sababu za kushindwa.
 
CHADEMA ina viongozi wenye akili za kushikiwa kweli, wanatakiwa wajue nec ipo na inaendesha mambo yake kwa mujibu wa katiba.

wasifikiri na rudia wasifikiri nec ni kama chadema inayoendeshwa kwa mujibu wa maagizo na maelekezo kutokea njiro arusha kwa mwasisi.
 
Na hii ndio maana halisi ya Democracy. Ahsante mleta maada
 
Sasa CHADEMA wana wasiwasi gani? Si wanaweza kufanya manual counting tu - sio lazima watumie hiyo hiyo computer ya NEC. Wanaweza kujumlisha matokeo ya kituo/kata/ Jimbo / Mkoa na mpaka Taifa. Mbona kama wanatafuta sababu na kujihami ili wakishindwa waseme wameibiwa kura???
 
Huo ni mwanzo tu, wajiandae kupata shida zaidi ya hapo....
 
Sasa CHADEMA wana wasiwasi gani? Si wanaweza kufanya manual counting tu - sio lazima watumie hiyo hiyo computer ya NEC. Wanaweza kujumlisha matokeo ya kituo/kata/ Jimbo / Mkoa na mpaka Taifa. Mbona kama wanatafuta sababu na kujihami ili wakishindwa waseme wameibiwa kura???

Hivi matokeo ya vituo 72,000 eLFU UNAWEZA KUJUMLISHA KWA MKONO? AU MANNUALY.?
 
Hivi matokeo ya vituo 72,000 eLFU UNAWEZA KUJUMLISHA KWA MKONO? AU MANNUALY.?

Kwa nini usiweze wakati una mawakala katika kila kituo. Kila kituo kinajumlisha ya kwake - then summary za vituo zinatumwa kwenye kata - na summary za kata zinakwenda kwenye kila Jimbo lake kisha WILAYA halafu MKOA. Summar za Mkoa zinajumlishWA kupata za Taifa. Mawakala wanaweza kuifanya hiyo kazi vizuri kabisa. Baadae matokeo yanaweza kufananishwa na hayo ya NEC kwa mpangilio huo huo.
 
Imefika wakati Lubuva atumie mamlaka yake, sio kuendeshwa endeshwa kama kamdoli.
Hofu ya KUSHINDWA ya chadema inawamaliza.
 
Ni Lazima wadau wote wajue jinsi mfumo unavyofanya kazi, na pia lazima kuhakisha kuwa hakuna data yoyote ya system kujiridhisha. Uwezi piga kura nakuacha kulinda kura zako
 
Nec ni kama mtoto aliyetumwa dukani huku amekariri, sasa akikuta alichotumwa na ccm kina changamoto, ndiyo analialia kama hivi!
 
Hivi matokeo ya vituo 72,000 eLFU UNAWEZA KUJUMLISHA KWA MKONO? AU MANNUALY.?

We unadhani wanawabandikia vituoni ili iweje???

Basi kama ndo hivo wayachukue yote wakajumulishie wanakokujua na wakija na idadi ya ziro zao wala usiwasemeshe.
 
Back
Top Bottom