Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,462
- 29,163
Mheshimiwa jiandae, kuna wadau haswa wa daladala na abiria wazawa wa Kigamboni wanajikusanya hapa Ferry kuandaa maandamano kushinikiza uondolewe, maana huwasaidii. Kama utawahi nenda hapo kwenye bajaj wapo.
Na hii ni baada ya kuondolewa kwa daladala zote zilizokuwa zinaishia Ferry, ambazo kwa sasa zitaishia Posta Mpya.
Watumiaji wakubwa wa hicho kituo cha Ferry ni wale wanaotoka au wanaokwenda Kigamboni. Sasa wakishavuka kutokea Kigamboni watalazimika kutembea mpaka Posta mpya ndio wakute daladala.
Na hii ni baada ya kuondolewa kwa daladala zote zilizokuwa zinaishia Ferry, ambazo kwa sasa zitaishia Posta Mpya.
Watumiaji wakubwa wa hicho kituo cha Ferry ni wale wanaotoka au wanaokwenda Kigamboni. Sasa wakishavuka kutokea Kigamboni watalazimika kutembea mpaka Posta mpya ndio wakute daladala.