Ndungulile kabweka lakini kaliwa

Ndungulile kabweka lakini kaliwa

yusufummaka

Member
Joined
Apr 7, 2012
Posts
30
Reaction score
20
Mbwa anatabia ya kubwekea kila kitu kinachopita mbile yake hata kama uwezo wa kukikamata hana. Mbwa atambwekea hata chatu wakati akijua hatafua dafu kwa chatu na ataishia kuliwa. Fsi huwa anatabia ya kutoa adhabu ya kujambia vitu (mifupa, mawe) anavyoshindwa kuvitafuna ili kuviachia harufu kama adhabu.

Mh. Ngungulile amejaribu kuibwekea hoja ya mji wa kigamboni bila mafanikio, akaliwa. Maskini sijui alikuwa anafahamu vema alichokuwa anabwekea. Anajua nani yuko nyuma ya Kigamboni? Nini madhumuni yake? kipi kimeshaliwa na kipi bado? Ona sasa, yuko nje ya mjengo. Utapotea kisiasa Mh. ina wenyewe. Najua unajua kubweka lakini bwekea sebuleni tena uvunguni mwa meza usitoke nje utaliwa. Kigamboni "zalongwa mbali zatendwa mbali"
 
ukiwafanyia performance evaluation wabunge wa CCM huyu atapata high score, fuatilia utagundua japo kaliwa lakini amepanda mbegu ambayo lazima itamea madhara yake utayaona baadae
 
Mbwa anatabia ya kubwekea kila kitu kinachopita mbile yake hata kama uwezo wa kukikamata hana. Mbwa atambwekea hata chatu wakati akijua hatafua dafu kwa chatu na ataishia kuliwa. Fsi huwa anatabia ya kutoa adhabu ya kujambia vitu (mifupa, mawe) anavyoshindwa kuvitafuna ili kuviachia harufu kama adhabu.

Mh. Ngungulile amejaribu kuibwekea hoja ya mji wa kigamboni bila mafanikio, akaliwa. Maskini sijui alikuwa anafahamu vema alichokuwa anabwekea. Anajua nani yuko nyuma ya Kigamboni? Nini madhumuni yake? kipi kimeshaliwa na kipi bado? Ona sasa, yuko nje ya mjengo. Utapotea kisiasa Mh. ina wenyewe. Najua unajua kubweka lakini bwekea sebuleni tena uvunguni mwa meza usitoke nje utaliwa. Kigamboni "zalongwa mbali zatendwa mbali"


Ndugu yangu kama bado una mawazo na mtazamo huo kweli tuna kazi kubwa ya kuanza na ukombozi wa kifikra kwa watanzania wengi!
 
Siku hizi gia ya kupata umaarufu bungeni ni kutukana, kuzusha uongo, na kugoma kufuta kauli. kinachofuata hapo ni kufukuzwa/kuzuiwa kuhudhuria vikao, magazeti yana pick it up, ushakuwa maarufu!
 
Kaliwa Ndugai, subirini vita Serikali na jeshi la ziada, JWTZ ambao maisha yao wamewekeza Kigamboni, Ndugulile si kihiyo. Anajua anachokifanya, Kigamboni lazima kinuke. Mapinduzi ya kwanza kabla CDM, yatatoka Kigamboni , subirini muoneeeeeeee
Siku hizi gia ya kupata umaarufu bungeni ni kutukana, kuzusha uongo, na kugoma kufuta kauli. kinachofuata hapo ni kufukuzwa/kuzuiwa kuhudhuria vikao, magazeti yana pick it up, ushakuwa maarufu!
 
​sipendi nianze kukujasili ila ningefahamu uwezo wako kielimu ingenisaidia kuanzia pale kwa sasa napita
Mbwa anatabia ya kubwekea kila kitu kinachopita mbile yake hata kama uwezo wa kukikamata hana. Mbwa atambwekea hata chatu wakati akijua hatafua dafu kwa chatu na ataishia kuliwa. Fsi huwa anatabia ya kutoa adhabu ya kujambia vitu (mifupa, mawe) anavyoshindwa kuvitafuna ili kuviachia harufu kama adhabu.

Mh. Ngungulile amejaribu kuibwekea hoja ya mji wa kigamboni bila mafanikio, akaliwa. Maskini sijui alikuwa anafahamu vema alichokuwa anabwekea. Anajua nani yuko nyuma ya Kigamboni? Nini madhumuni yake? kipi kimeshaliwa na kipi bado? Ona sasa, yuko nje ya mjengo. Utapotea kisiasa Mh. ina wenyewe. Najua unajua kubweka lakini bwekea sebuleni tena uvunguni mwa meza usitoke nje utaliwa. Kigamboni "zalongwa mbali zatendwa mbali"
 
Back
Top Bottom