Naomba ushauri jamani naishi na mama yngu mzazi na wadogo zangu pia wanangu sasa maza kila cku anazira kula mara anashinda haongei na mtu nikimuliza hasemi je nifanyeje
muwekee picha ya magufuli mbele ya sahani.
Naomba ushauri jamani naishi na mama yngu mzazi na wadogo zangu pia wanangu sasa maza kila cku anazira kula mara anashinda haongei na mtu nikimuliza hasemi je nifanyeje
duh pole mkuu swali wewe ni jinsia gani? unaishi na mume/mke? ni ghafla hiyo tabia imeanza au? labda kuna mtu amemuudhi mama na ameona akikwambia ataharibu mahusiano yenu.
Nimependa avatar yako😉