Chilisosi
JF-Expert Member
- Oct 19, 2008
- 3,051
- 747
kama vurugu ndio solution mbona wenzenu wa Syria ni mwaka sasa wanauana kama kuku lakini hakuna mshindi?
Oneni Libya ghadafi kafa jee mnajua yanayojiri huko sasa?
Msipende kuiga ujinga jifunzeni kwanza sio kuiga tu mnaona sifa hao waarabu kwao kufa siku hizi ni fasheni na nyie mnaiga
Oneni Libya ghadafi kafa jee mnajua yanayojiri huko sasa?
Msipende kuiga ujinga jifunzeni kwanza sio kuiga tu mnaona sifa hao waarabu kwao kufa siku hizi ni fasheni na nyie mnaiga