mwanamapinduko
Senior Member
- Jan 24, 2011
- 178
- 41
Waislamu ni wastaarabu sana wanatukanwa sana pamoja na dini yao, wamechomewa kitabu chao huko mwanza,kigoma, znz,kitabu kimekojolewa dsm,humu jf nao wanawatusi sanaa.Ustaarabu wao hata siku mmoja wao hawaja wahi kuchoma kitabu chao na hata kumtusi mtu kupitia imani yake.Naona sasa wameachanza kuchoka kwa sababu sio serikali wala maaskofu wamejitokeza hadharani kupinga na kulaani yote hayo yaliotokea ina maana wanayafurahia hayo.Waaislamu uvumilivu umeanza kuota mbawa na wakiamua nchi hii itakuwa motoni ghafla coz wao hawaogopi kifo.Msijidanganye haya yanayotokea sasa yamechangiwa kwa kiasi kikubwa na Serikali pamoja na Wakristo.
Usijidanganye kuwa wakristo kuwa wanaogopa kifo njoo tarime uone! na likianza tutakuja hukohuko dar kuwavua hivyo vipedo na utajuwa kuwa vita ni vita muraa!