mi napita tuuLema 2013 "ni hekima na utukufu kwa mwenyezi Mungu kumtukana mtu fisad kama lowaxa". Lema 2015 "lowaxa ni chaguo la Mungu"
mi napita tuuLema 2013 "ni hekima na utukufu kwa mwenyezi Mungu kumtukana mtu fisad kama lowaxa". Lema 2015 "lowaxa ni chaguo la Mungu"
jamani hivi hizi statement alitoa mtu mmoja kweli. mtu wa namna hii hawezi kuwa mzalendo kamwe. ni mchumia tumbo tuMbowe ~~ Lowasa ni dhaifu na fisadi hawezi kuwa rais wa nchi yetu(June ,2015)
Mbowe ~~ Lowasa ni kiongozi shupavu ,tunamkaribisha UKAWA agombee urais ( August, 2015)
Mkuu G Sam naona huu ulio mpa ni mtihani mgumu sana kwa huyo polepole kwani kwa utamaduni wetu waafrika kukiwachia kitumbua kikutoke kwa makusudi bado sanaTaifa langu ni taifa la wanafiki wengi, hawana uzalendo na hawajui wasimame wapi kuutetea uishi na utashi wao.
Ndugu yangu Humphrey Polepole nakuomba ujione wa thamani na kuijenga upya haiba yako mbele ya jamii, mimi huko nyuma nilishakataa kuwa mnafiki nikamueleza mheshimiwa yule kuwa mimi siyo wa aina yake, nikatengua. Mimi ningefarijika sana kama ungejitokeza na kuukataa ukuu wa wilaya kwa kuonyesha dhahiri kuisimamia rasimu uliyopendekeza, hiyo ndiyo siasa safi na kujitambua.
Humphrey Polepole kwa kweli ukienda kuapa tena nitakufutilia mbali kwenye watu wangu wa karibu na sitokupa ushirikiano wowote ndani ya uongozi wako. Nitakuwa mpinzani wako mkubwa na kukupinga kwa kila jambo kiuchumi, kisiasa na kijamii. Nachukia sana undumilakuwili na sitaki kukuona tena kwa mara nyingine ukirudia kosa hilo la undumilakuwili.
Nausubiri kwa hamu kubwa msimamo wako ili nikuheshimu au kukupuuza kama ambavyo nimewapuuza wengine ndani ya chama chako.
Ndoto njema utakayoishi itakufanya kuwa mkuu mbele ya mataifa siku za usoni!
Wewe hata ukikesha unachangia nafasi yako ya kupewa upendeleo wa udc bado sana,kama kaka yako lizaboni kaukosa itakuwa wewe?Mbowe ~~ Lowasa ni dhaifu na fisadi hawezi kuwa rais wa nchi yetu(June ,2015)
Mbowe ~~ Lowasa ni kiongozi shupavu ,tunamkaribisha UKAWA agombee urais ( August, 2015)
Nenda kapige push up Lumumba.jamani hivi hizi statement alitoa mtu mmoja kweli. mtu wa namna hii hawezi kuwa mzalendo kamwe. ni mchumia tumbo tu
Sasa huku waliko mleta ndiyo atakosa hata wa kumsalimia maana kila mtu na time zakeNaskia Mara walimchoka ghafla
Mbona husomeki au ndio uji wa chumvi unafanya yake tumboni?Kuwa wewe kuweza somooh!!
Kuwa na adabu basi hata ya akiba.Mbona husomeki au ndio uji wa chumvi unafanya yake tumboni?
Sawa mkuuKuwa na adabu basi hata ya akiba.