MAHANJU
JF-Expert Member
- Aug 26, 2014
- 5,252
- 8,003
Juzi juzi ulitoa tamko kuhusu vyeti vya ndoa, Mh Rais akatengua, likaja suala la Ney wa Mitego ambako nina uhakika kua ulihusika kwa kiasi kikubwa juu ya kukamtwa kwake na kuufungia wimbo wake lakini pia Mh Rais akatengua.
Kwakweli madaraka yana utamu wa aina yake, yaani mtu maamuzi yako yanatenguliwa mara mbili mfululizo bado unaendelea na kazi tu. Kwa sifa ya mwanasiasa wa kweli wala asingeendelea kuaibika kiasi kile. Mtu ukishaona maamuzi yako yanatenguliwa mara kwa mara kajitafakari,inawezekana haufai kwa nafasi yeyote ile.
Kwakweli madaraka yana utamu wa aina yake, yaani mtu maamuzi yako yanatenguliwa mara mbili mfululizo bado unaendelea na kazi tu. Kwa sifa ya mwanasiasa wa kweli wala asingeendelea kuaibika kiasi kile. Mtu ukishaona maamuzi yako yanatenguliwa mara kwa mara kajitafakari,inawezekana haufai kwa nafasi yeyote ile.