Mookiesbad98
JF-Expert Member
- Feb 1, 2015
- 3,571
- 4,820
Njia yote ya Mwai kibaki kuanzia kwa Mzee Mwangonda kuendelea mpaka mikocheniWapi huko
Kumbe ni yeye anayetusumbua kiasi hikiToka ndg Lameck Madelu ateuliwe kuwa PM amesababisha kero kubwa ya foleni pale anapotoka kwake na kurudi nyumbani.
Nadhani ikiwezekana mamlaka impatie Nyumba huko karibu na mjini yaani Oysterbay maana kuna makazi rasmi ya Waziri mkuu.
Mfano leo.Saa asubuhi umeleta.adha kubwa ya foleni pasipo sababu ya msingi ulipokuwa ukitoka kwenda JNICC.
Nawasilisha.
Ni maeneo gani hayo, tuyakwepe foleni!Toka ndg Lameck Madelu ateuliwe kuwa PM amesababisha kero kubwa ya foleni pale anapotoka kwake na kurudi nyumbani.
Nadhani ikiwezekana mamlaka impatie Nyumba huko karibu na mjini yaani Oysterbay maana kuna makazi rasmi ya Waziri mkuu.
Mfano leo.Saa asubuhi umeleta.adha kubwa ya foleni pasipo sababu ya msingi ulipokuwa ukitoka kwenda JNICC.
Nawasilisha.
Mbezi beach kwenye ApartmentKwani anaishi wapi kwa sasa?
Kwenye appartment au ni kwake binafsi?Mbezi beach kwenye Apartment
Yaani umeandika mengi sana ila hujasema anakaa wapi...Toka ndg Lameck Madelu ateuliwe kuwa PM amesababisha kero kubwa ya foleni pale anapotoka kwake na kurudi nyumbani.
Nadhani ikiwezekana mamlaka impatie Nyumba huko karibu na mjini yaani Oysterbay maana kuna makazi rasmi ya Waziri mkuu.
Mfano leo.Saa asubuhi umeleta.adha kubwa ya foleni pasipo sababu ya msingi ulipokuwa ukitoka kwenda JNICC.
Nawasilisha.